Wakinani mkuu ww haumo?Mkuu, bila ya kukiuka sheria za JF waweza kuwaandikia jina tu pasipo kuweka link.
Hapana boss. Nina Mke na watoto, twategemea mjukuu siku siyo nyingi. Sina haja ya kuhangaika kutafuta tena.Wakinani mkuu ww haumo?
Kweli Mkuu.Hapana boss. Nina Mke na watoto, twategemea mjukuu siku siyo nyingi. Sina haja ya kuhangaika kutafuta tena.
Mwezi wa tatu huu Niko na mzungu wa huko anataka kuja bongo anasema nasikia mlima Kilimanjaro anataka kuja kuuangalia Ila uwezi kuchat nao kama hujanunu point ukijiunga tu wanakupa free credit kama Mia hv za kuchat nakila ukichat wanakata zile credit zikiisha Hauwezi kuchat nao mpaka upgrade kwa kununu credit kwa kutumia MasterCard, PayPal etc jipange Hakuna cha bureKatika pitapita mtandaoni nika]kuta mtandao fulani kutoka taifa la Ukraine wananishawishi nijiunge na mtandao huo ilinichukua dk chache tu kujiunga cha ajabu ni kwamba baada tu ya kujiunga nilikuta message nyingi sana wadada na wamama wakiomba tuwasiliane wengine tuonane ikanibidi nifanye utafiti mfupi inaonekana taifa hili lina uhaba wa wanaume lijali sasa wabongo tumieni fursa hii kuwaliwaza wanawake wa Ukraine.
Sio wataendelea wanapigwa hadi sasa ndio maana sijataja ni mtandao gani.Kuna watu wataendele kupigwa hela na hii mitandao
Kupigwa utake wewe Kuna njia rahisi Sana unaingia bila hata cent tano ukileta kimberembere na kimastercard chako wanapiga hela za kutoshaSio wataendelea wanapigwa hadi sasa ndio maana sijataja ni mtandao gani.
Unajua nchi zetu matumizi ya mitandao kwa umakini bado hatuja endelea sana ila ukiwa makini unawageuza fursa kwako kabla hawajakugeuza ww fursa.Kupigwa utake wewe Kuna njia rahisi Sana unaingia bila hata cent tano ukileta kimberembere na kimastercard chako wanapiga hela za kutosha
Kuna kasoftware nakamlizia Hawa weupe wataelewa somo ni mwendo wa kapiga za kwako wakijifanya wameshtuka kuifuatilia inajiblocked ukiisumbua Sana inakuchapa kirusi lazima uilete pay shenzi kabisaUnajua nchi zetu matumizi ya mitandao kwa umakini bado hatuja endelea sana ila ukiwa makini unawageuza fursa kwako kabla hawajakugeuza ww fursa.
Wewe, Ally kiba na hao wanawake wote pasua kichwaNimeona niwasaidie kidogo wanawake wa huko kupata solution ya tatizo lao kwangu ni pasua kichwa haimaanishi ni kwa wote.
Hahaaa hapana mkuu sio wote ni kwamba tu hawajapata vidume vya uhakika sasa wanaona bora watafute mtandaoni.Wengine ni maporn stars we kazana tu
Nyie si mnaendekeza pesa,ngoja sie twenzetu Ukraine!wapenda kitonga lazima wapigane vikumbo