Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,324
- Thread starter
- #41
Una uhakika hii pic alipigwa bila ridhaa yake???
Oyaaa achana na mimi hunijui sikujui, na wala huyo jamaa kwenye huu uzi aliowekwa umjui ndio maana nikakuuliza una uhakika labda ni jamaa yangu wa karibu, au unatafuta kiki.Kupigwa picha ni jambo moja na kuanikwa kwenye mitandao ni jambo lingine... jitafakali,,,,
Kuliamusha kuliamshaUMELIAMUSHA DUDE NGOJA WAJE
Ni mtu wangu wa karibu huyo mkuuKwa upande Wangu Sio Fair Kuweka Picha Ya Mtu Public Kias Hiki Na Watu Kujadili
Kula tu mkuu uone kiki zinavyotafutwa kwa nguvuPorpcon
Haya mambo ya fb yamehamia jf? masuala ya kuuza sura bakini nayo huko fb bhanaDu! mbona umetumia nguvu nyingi kujitetea hadi kutupia picha yako?! aiseee
Hahahahahahah mbona na ww upo dar au ww ratiba yako ya msosi iko vp?
SawaNi mtu wangu wa karibu huyo mkuu
PouwaSawa
Wee umemuona huyo alivyokuwa, ananiuliza mimi jinsia gani na akathubutu kuniambia mimi mwanamke, ndio nikamjibu kwa hiyo picha au usomi comments mkuu unapayuka tu!Haya mambo ya fb yamehamia jf? masuala ya kuuza sura bakini nayo huko fb bhana
Kitu gani kinamjulisha kwamba ni wa DAR? Kwa sababu ninavyofahamau, wala chips na kuku broiler wapo nchi nzima hii.Usikute hapo anajisemea moyoni kwake na kujiambia "kwenye sekta kama hizi aturembagi"