Wanaume wa dsm hao, chips kuku wa kizungu!!!

Abbasfarudume

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
1,625
1,323
dfc66360b1660807ebceafbe1214e54e.jpg
 
Maswala ya kuanikana kwenye mitando bila ridhaa tutakuja kushtakiana muda si mrefu... Sheria za mitandao zipo!!
 
Ukike kufatilia maisha ya mwanaume mwenzako, eti anakula nn ana vaa vp .. acheni ujinga.
 
yap yupo vzr, kuna wanaomaliza miezi hawajaonja hicho chakula.. hadi kutokee msiba wa mwenye hela
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom