geek jo
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 1,134
- 1,143
Haito chukua siku nikiamua kukujua mkuu.. kumfanyia dhambi mtu mwingine hata kama ni jamaa yako wa karibu haikufanyi kuwa nje ya hatia kaka. Jiangalie sana!Oyaaa achana na mimi hunijui sikujui, na wala huyo jamaa kwenye huu uzi aliowekwa umjui ndio maana nikakuuliza una uhakika labda ni jamaa yangu wa karibu, au unatafuta kiki.