Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,126
Kakugusa nini mkuu, isije ikawa ndio wewe uko pichani mubasharaMaswala ya kuanikana kwenye mitando bila ridhaa tutakuja kushtakiana muda si mrefu... Sheria za mitandao zipo!!
Kakugusa nini mkuu, isije ikawa ndio wewe uko pichani mubasharaMaswala ya kuanikana kwenye mitando bila ridhaa tutakuja kushtakiana muda si mrefu... Sheria za mitandao zipo!!
Pilau mchele wa plastic kuku boiler mkuuPilau hiyo jamani sio chipsi
Btw mwanaume wa kweli hajisifii kula
Wanashushia na pepsi,ndomana mabango ya nguvu za kiume yanazidi kuchafua jiji lenu la dar.
ndio ninao mkuu lkn, washaolewa wako kwa waume zao.MKUU KWANI UNA MTOTO WA KIKE,TUNAHITAJI KUKUONESHA NGUVU YA CHIPS KUKU WA KIZUNGU....
mie wa hapa hapa mkuuWa Mkoa bhana kutwa kuwataja taja wanaume wa Dar, Mtakuja kuolewa wanuka ugoro nyie.
Siku hizi mtu akitafuta kick lazima awaseme wanaume wa Dar. Mimi naona pilau na kuku sioni chips hapo.
Shida ya ugoro ni kuharibu akili. Binti zenu wakija mjini kufanya kazi wanarudi na mimba, hamjiulizi wanapewa na nani?
Na pepsi juu hapo anashushia mkuu.baadae ndo watafutaji wakubwa wa dawa za kuongeza nguv wakat muda anauchezea kula vitu vyenye nutrients ndogo.
Nitake radhi mkuu jina kwenye avatar yangu linasomeka Abbasfarudume: NB pic yangu hiyo hapo ujitosheleze..Ulieleta uzi ni mwanamke wa mkoa gani?
Ulieleta uzi ni mwanamke wa mkoa gani?
ohoooooooooooooooooo! kwani pepsi "inashusha sidifoo" za kiumeni?Wanashushia na pepsi,ndomana mabango ya nguvu za kiume yanazidi kuchafua jiji lenu la dar.
Una uhakika hii pic alipigwa bila ridhaa yake???Maswala ya kuanikana kwenye mitando bila ridhaa tutakuja kushtakiana muda si mrefu... Sheria za mitandao zipo!!
Mjinga wewe pia mmojawapo uliosoma huu uzi!!!Ukike kufatilia maisha ya mwanaume mwenzako, eti anakula nn ana vaa vp .. acheni ujinga.
Du! mbona umetumia nguvu nyingi kujitetea hadi kutupia picha yako?! aiseeeNitake radhi mkuu jina kwenye avatar yangu linasomeka Abbasfarudume: NB pic yangu hiyo hapo ujitosheleze..
Abbasfarudume Mkuu wee ni dereva wa scania?
Abbasfarudume Mkuu wee ni dereva wa scania?
Nipo bandarini mkuu jambazi:Abbasfarudume Mkuu wee ni dereva wa scania?
Abbasfarudume Mkuu wee ni dereva wa scania?
Chikila mtabari: kuna majitu mangine humu wana matusi ya reja reja, ovyo kabisa!!!Du! mbona umetumia nguvu nyingi kujitetea hadi kutupia picha yako?! aiseee
Pole kwa kuchafukwa nafsi asubuhi asubuhi, uwe na asubuhi njemaChikila mtabari: kuna majitu mangine humu wana matusi ya reja reja, ovyo kabisa!!!
Ahsante mkuuPole kwa kuchafukwa nafsi asubuhi asubuhi, uwe na asubuhi njema
Hapo utakuta katupia kapicha kwa FB halafu status kaandika"Mwili haujengwi Kwa matofali jamani,Karibuni my friends".
Sawa sawa wao sijui wanakula ma.vi. auWa Mkoa bhana kutwa kuwataja taja wanaume wa Dar, Mtakuja kuolewa wanuka ugoro nyie.
Sura yako siyo ngeni sasa mkuu.... Nilikuwa nakuona sana hapo bandarini... Nikafikiri we ni dereva wa magari ya mzingo..
Nipo bandarini mkuu jambazi:
Forklift mkuuSura yako siyo ngeni sasa mkuu.... Nilikuwa nakuona sana hapo bandarini... Nikafikiri we ni dereva wa magari ya mzingo..