Wanaume wa Dar Tunadhalilishana sana.Nimeshangazwa sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,272
23,046
Inahuzunisha yaani kila mtu ofisin leo kaja na jacket au coat zito. Mwanaume kabisa hali hii unakuja unatetema umejikunyata kama kifaranga cha kuku.

Come on... Hivi kuna baridi gani la kuvaa nguo nzito leo? Wanaoishi Mbeya,arusha,rukwa,iringa wavae nini sasa?moto?

Acheni ufala.muanze kugangamaa na nyie.mnafanya wote tuonekane dhaifu.kwa hali hii hata nguvu za kiume mtapata wapi?

Mwanaume mzima anakuja kusema leo kaoga maji ya moto na usiku kajifunika blanket.huu ni ufala kabisa.

Stories zote leo ni kuhusu baridi na sex...hivi mngekaa mbeya au iringa ingekuwaje?

Mpaka nmejisikia vibaya sisi pia mbona tumezaliwa Dar lakini hatuna tabia za kindezi namna hiyo?acheni hizo mnatakiwa kugangamaa.
 
Ukiendelea utaliwa sifuri saba kumi na nne, broh

Hayo mambo ya kimanzi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
wanachama wa CHAPUTA hali ya hewa ni njema sana leo......kuamka mapemaaaaa.......
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom