Wanaume Wa Dar Njooni Tujadili Haya Mashambulizi Kutoka Mikoani

Hii ligi haiwezi isha mpaka Yesu anarudi kwa awamu ya pili maana alie kijijini anamnanga alie mjini huku akitamani afike Das lam, hawajamaa wa mikoani kwa kifupi Das lam ndo New York City yao hahaha, niliwahi fanyaga kazi jamii fulani mkoa wa karibu na mipakani jamaa wakawa wanasema kiswahili changu cha tofauti yani kina tiririka tu hahahaha mikoani bwana...
 
Na sasa wana mpango wa kupiga vodole vya kwenye kinyeleo wanaume wa dar hapo ndo masoga mengi yatagundulika
 
Ndugu zangu wanaume wenzangu tunaoishi na kufanya shughuli zetu hapa Dar, sasa hivi tumekuwa tunashambuliwa mno mitandaoni na watu wa mikoani hasa wanaume wenzetu wanaoishi mikoani na pia hata wanawake wa huko mikoani. Wamekuwa wakitudhikahi kuwa sisi tumekuwa laini laini, lonya lonya tusioweza kazi nzito nzito, tusiopenda kabisa kutoka jasho na kupenda kazi nyepesi na vitu soft soft. Imefikia hatua wanasema kuwa hata wanawake zetu eti 'hatuwawezi' tena kwa kuwa tumekuwa soft, hatuna nguvu na hatutaki kutoka jasho hali ambayo imetupelekea kuwa wazee wa 'nyundo moja' kwenye sita kwa sita then hapo ni kulala au bize na simu au kutazama mpira. Wanaume wenzetu wa mikoani wameenda mbali zaidi kuwa wanawake zetu siku hizi wanapanda mabasi kuwafuata wao huko mikoani kufuata 'show za kibabe' then wanarudi kwetu huku Dar. Inadaiwa wao ndio wazee wa kazi ngumu, wavuja jasho, wala dona na hawazijui kabisa chips ndio maana show zao ni 'Kazi Kazi'. Wanadai kuwa sisi hata kutembea siku hizi hatuwezi, yaan umbali mfupi kutoka Magomeni Mwembe Chai hadi Magomeni Usalama tunachukua bodaboda, bajaji au daladala na siku hizi tunarequest UBER tu inakuja fasta. Sasa ndugu zangu tunafanyeje? Ni kweli hilo tatizo lipo? Je Tuache kula Chips na Sembe? Na hawa ndugu zetu wa mikoani wazee wa dona tuwajibu vipi? Kwa maoni yangu naona hawa jamaa wamepotoka aidha kwa kuwaona wapaka poda kwenye video za muziki au bongo muvi sasa wanajua ndio wanaume wote wa Dar tupo hivyo. Mbona sisi ni mashababi tu na tunakamua kazi ngumu. Hivi mnafikiri haya magorofa marefu mnayoyaona kwenye tv huko mikoani yanajengwa hapa Dar si zege lile? Na wanaopiga kazi ni wanaume sisi. Huko mikoani msituchukulie poa kabisa. Hizo Video za muziki na bongo muvi nazoziona kwenye tv msidhani ndio wote. Kazi tunapiga na ndio maana tunawatumia pesa huko mikoani kila mnapotuomba
Maelezo yako yenyewe yanaonyesha ulivyo laiiiiiiini
 
Wanaume wa mikoani mbona tupo wengi tu huku dar, dona kama kawa, wanawake zetu tunawaridhisha kitandani, kazi ngumu tunapiga, naishi dar ila pia najishughulisha na kilimo kule chanika na ufugaji sehemu nyingine inayoitwa misugusugu ipo pembezoni mwa moro road mbele ya kongowe, kama bado na mm mnanihesabia kuwa wa dar na mkanikataa msisahau kuwa "jasiri haachi asili"
Mwakaleli Rungwe,mbeya kwangu nyumbani. Ninaishi dar napiga kazi dar ila Mwakaleli ndio nyumbani.
 
ila kitu kingine, wapo pia wanaume wa mikoani wasioweza kuwaridhisha wanawake/wake zao, kama mnabisha basi nyie sio wa mikoani, nimewahi kuishi dom, iringa, na njombe kabla ya kuja huku dar, kama hamuamini basi ni tatizo lenu tu kama sio kutafuta kiki ndugu zangu wa mikoani. Hata kama dar wanaitwa wanaume wa dar, mm nilipata opportunity huku kwann niipotezee kisa tu mm mwanaume wa mikoani?, je mnafanya sawa kunihesabia kuwa mmojawapo wa wanaume wa dar wakati mm wa mikoani na huku dar nimefuata fursa tu?.
 
Wavulana wa dar siwaelewi hapo naona umeandika michambo tuu.. Embu tumia nguvu kuandika kaza maneno labda wanaume wa mikoani tutakuelewa....
 
Back
Top Bottom