BLACK_WIDOW
Senior Member
- Nov 17, 2018
- 133
- 318
Ni mara nyingi tu tumesikia juu ya Taarifa za matukio ya wanaume kuwaua wenzi wao na kutokomea kusikojulikana ingawaje wengi wao hukamatwa baadae na vyombo vya dora, Pia baadhi ya wanaume baada ya kufanya matukio hayo ya kinyama huamua kujiua ili kukwepa mkono wa dora, Sababu kubwa ya kufanywa kwa vitendo hivi ni "WIVU WA KIMAPENZI". Na tukiegemea kwenye ukweli asilimia kubwa ya matukio haya hutoakea maeneo ya bara (maarufu mikoani ). Sikatai hata Dar hutokea ila ni kwa kiwango kidogo mno kulinganisha na huko mikoani,
Hapa napata sababu ya kusema Wanaume wa Dar ni Imara katika ku-handle ishu za Mahusiano ukilinganisha na wanaume wa mikoani, kwa sababu siamin kama wanawake wa Dar ni perfect kwenye mahusiano kihivyoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa napata sababu ya kusema Wanaume wa Dar ni Imara katika ku-handle ishu za Mahusiano ukilinganisha na wanaume wa mikoani, kwa sababu siamin kama wanawake wa Dar ni perfect kwenye mahusiano kihivyoo.
Sent using Jamii Forums mobile app