dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
Wakati wa chakula cha usiku mi naona wanawake ndo tunafaidi sana kuliko wanaume we chunguza tu utaona Eti wanakunja sura wakati kushiba huku sio tunalia kwa kudeka mwanzo mwisho wakati wa msosi.HEBU SEMENI NYIE WAKAKA NI KWELI MNAFaidi au isije ikawa tunawakamua damu bure!