Wanaume tuwe wasafi jamani!

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Update:

10. Mtu mkewe akisafiri wiki nzima basi na yeye hatandiki kitanda chake wiki nzima. Huo ni u-smart au ni uchafu?
11. Kila ukikutana na kichochoro au kigiza kidogo, mzee lazima umwage "kojo" tena lenye harufu kali. Jiheshimu!

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "ugumu" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.


hapo kwa red ningeomba ufafanuzi yakinifu.....huwa pananichanganya sana.....
 
dah sjui nikupe nini wewe??
ahh umeongea fresh jaman...lijitu linanuka kwapa utasema kaficha tope la choo

ahh kuna njemba moja iyo olevel ebwna ehh sjapata mfanoe yule bwana alikuwa anapenda kunihug kila akiniona na akishanihug anataka aninongoneze et ata masomo mema ye anataka anisemee kisikion sasa BALAA LAKE ILO KWAPA jaman ahh yaan akipanua mkono utasema kuna jalala limefunguliwa...na izo njino zinavyonuka jaman,...dahh afu anapenda kuzungumza chngereza mda wote bas watu wakawa WANAMPONDA AHH HAUNA LOLOTE MWINGEREZA GAN DOMO LINATEMA..raha ya chngereza domo livutie..
 
heeeeeeeeeeeeee?ya leo kali.........ila nadhani wamesikia kwa mjumuisho huu wasipofanyia kazi ni viburi.
jf na darasa tosha
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.


Umeandika vizuri lakini inaelekea una visa na kitimoto, we ni jihad au mujahidina, basi umeharibu yote mazuri uliyoyaandika. Kwani Kitimoto ndicho kinaudhi mdomo!!!
 
dah sjui nikupe nini wewe??
ahh umeongea fresh jaman...lijitu linanuka kwapa utasema kaficha tope la choo

ahh kuna njemba moja iyo olevel ebwna ehh sjapata mfanoe yule bwana alikuwa anapenda kunihug kila akiniona na akishanihug anataka aninongoneze et ata masomo mema ye anataka anisemee kisikion sasa BALAA LAKE ILO KWAPA jaman ahh yaan akipanua mkono utasema kuna jalala limefunguliwa...na izo njino zinavyonuka jaman,...dahh afu anapenda kuzungumza chngereza mda wote bas watu wakawa WANAMPONDA AHH HAUNA LOLOTE MWINGEREZA GAN DOMO LINATEMA..raha ya chngereza domo livutie..

Roziiiiiiiiii......achi achi achia bodi

Achi achi achia bodi....

Umedata wee binti.
 
dah sjui nikupe nini wewe??
ahh umeongea fresh jaman...lijitu linanuka kwapa utasema kaficha tope la choo

ahh kuna njemba moja iyo olevel ebwna ehh sjapata mfanoe yule bwana alikuwa anapenda kunihug kila akiniona na akishanihug anataka aninongoneze et ata masomo mema ye anataka anisemee kisikion sasa BALAA LAKE ILO KWAPA jaman ahh yaan akipanua mkono utasema kuna jalala limefunguliwa...na izo njino zinavyonuka jaman,...dahh afu anapenda kuzungumza chngereza mda wote bas watu wakawa WANAMPONDA AHH HAUNA LOLOTE MWINGEREZA GAN DOMO LINATEMA..raha ya chngereza domo livutie..


We Rose ni mwanamke kweli au geresha ya jina unafoka sana
 
hapo kwa red ningeomba ufafanuzi yakinifu.....huwa pananichanganya sana.....

kwasababu yakiwa marefu sana yanachangia harufu ingawa WENGINE UTAKUTA ANA LINYWELE ILOOO LAKIN WALA HALITEMI...ahh lakin sasa ufuge jaman..yaan mwngne asubui anaomba kabsa BANIO LA NYWELE LA MKEWE APATE KUBANA AYO MANJUNJU...manake mpk shat linafanya kumbana jaman khaaa puuh stak mie!!!!!!!
 
hapo kwa red ningeomba ufafanuzi yakinifu.....huwa pananichanganya sana.....
Kuna watu kwa asili wana kikwapa na kikwapa ni ugonjwa wa ngozi na wataalamu wa magonjwa ya ngozi dermatologists wanajua jinsi ya kushughulika nalo. Tatizo kuna watu wanajua kabisa wana kikwapa lakini kwa vile wanajidai wako Bize basi kunyoa ni mpaka watu wawe wameshapiga sana chafya kwenye daladala.
 
hahahaha Rose umenichekesha sana,na hizo jino hukawii kuona mabaki ya maharage na mchicha lol
 
kwasababu yakiwa marefu sana yanachangia harufu ingawa WENGINE UTAKUTA ANA LINYWELE ILOOO LAKIN WALA HALITEMI...ahh lakin sasa ufuge jaman..yaan mwngne asubui anaomba kabsa BANIO LA NYWELE LA MKEWE APATE KUBANA AYO MANJUNJU...manake mpk shat linafanya kumbana jaman khaaa puuh stak mie!!!!!!!

Walahi tena nyoko alikudondosha ukaangukia kichwa ulipokuwa mtoto!
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.
Hiyo nasikia ni dawa ya kuua mbu
 
hahahaha Rose umenichekesha sana,na hizo jino hukawii kuona mabaki ya maharage na mchicha lol

dahh ulijuaje mama?
yaan akicheka unamwona dagaa mzima mzima kasimama kwenye njino zake ..dah hatari sjui ilikuwaje panapo denda na mkewe manake naskia ashaoa...
 
dah sjui nikupe nini wewe??
ahh umeongea fresh jaman...lijitu linanuka kwapa utasema kaficha tope la choo

ahh kuna njemba moja iyo olevel ebwna ehh sjapata mfanoe yule bwana alikuwa anapenda kunihug kila akiniona na akishanihug anataka aninongoneze et ata masomo mema ye anataka anisemee kisikion sasa BALAA LAKE ILO KWAPA jaman ahh yaan akipanua mkono utasema kuna jalala limefunguliwa...na izo njino zinavyonuka jaman,...dahh afu anapenda kuzungumza chngereza mda wote bas watu wakawa WANAMPONDA AHH HAUNA LOLOTE MWINGEREZA GAN DOMO LINATEMA..raha ya chngereza domo livutie..



Teheteheteheteheh,,,,,:loco: MBAVU ZANGU MIE.. BASI KUMWAMBIA LIVE UNAOGOPA UNABAKI KUGEUKA PEMBENI TU.
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.
Hao wanaume wenye tabia hizo ni wa huko kwenu,.....ambako hakuna maji,sabuni,maduka ya kuuza miswaki na dawa,hakuna leso,...etc,..huku kwetu hayo mambo hayapo_na hao kina Preta na Rose1980 wanao kussuport nafikiri mnaishi nao huko...waambie waje kwetu wataona tofauti
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom