Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,948
- 12,899
Kijana umetoka Iringa, Sumbawanga, Ruvuma huko umeenda Dar/Pwani au Tanga kutafuta maisha ukapata mwenza kisha ukaamua kurudi nae nyumbani kuanzisha mji wako , hesabia maumivu.
Vijana wote ninaowafahamu waliorudi na wake, hao waliaga wanaenda kwao kusalimia na hawakurudi tena.
Unapooa bint kutoka huko na kumleta mikoani kuja kuishi nae angalau uwe na maisha yanayoeleweka na usiombe ufwafwanzike.
Hawa mabint wa dar unaweza angalau ukadumu nae kama umeamua kuishi nae hapo hapo Dar/Pwani/Tanga au waoanage na Wanaume wa hapo hapo kwao.
Vijana wote ninaowafahamu waliorudi na wake, hao waliaga wanaenda kwao kusalimia na hawakurudi tena.
Unapooa bint kutoka huko na kumleta mikoani kuja kuishi nae angalau uwe na maisha yanayoeleweka na usiombe ufwafwanzike.
Hawa mabint wa dar unaweza angalau ukadumu nae kama umeamua kuishi nae hapo hapo Dar/Pwani/Tanga au waoanage na Wanaume wa hapo hapo kwao.