Ebu njoo unijaribu FS..yawezekana ni kwel hii kituNtakua wa mwisho kuamini, why all that mwishowe ujichome na hiyo sindano, mume hatulizwi kwa kufichiwa sindano bana. Wanadanganyana tu hao. Muache akichepuka kwani mkuyenge utabaki huko si atarudi nao nausafisha vizuri nautumia na mimi aargh😜
Duh noma adseWengine nilikuta wanajadili kuhusu limbwata,
wanaambiana kuwa ukitaka kumteka mume, chukua kipande cha nyama na ukiweke matakoni usiku kucha, asubuhi chemsha na nyama zingine halafu mpe ale, hapo mume hataenda kokote utakuwa umemteka!
Daah !! Nyama za matakoni ndo maana tunawahi kufa. Tunakufa kwa Mengi
Ndo maana machizi wengi ni wanaume....Dah!
Hizo sarakasi ndo zikukute unawanawake watano.
Afu wote kila mtu anakutaftia dawa utulie.
Huo .changanyiko wake utafurah na roho yako
Hizi mbinu hazifanyi kazi kwa wakurungwa plus plusKatika pitapita zangu nimekutana na hii kitu, sasa kama ni kweli haya mambo yanatendeka basi wanaume lazima tujue tunapigana vita vikilai sana ama kwa kujua ama kutojua...
View attachment 2027952
View attachment 2027961
View attachment 2027963
Uzi tayari...
Wekeni na misumari ila kuliwa kupo pale pale
Mada wanazojadili watoto wa first year unatuletea hukuKatika pitapita zangu nimekutana na hii kitu, sasa kama ni kweli haya mambo yanatendeka basi wanaume lazima tujue tunapigana vita vikilai sana ama kwa kujua ama kutojua...
View attachment 2027952
View attachment 2027961
View attachment 2027963
Uzi tayari...