Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Wanaume tunawatesa sana hawa wanawake inafikia stage hadi mwanamke anaongea mwenyewe jinsi gani anapitia magumu kwa mwanaume wake
Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao
Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini
Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote
Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu
Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari
Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho
Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote
Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali
Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu
Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia
Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu
Wanaume tupende na tujali familia zetu
Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi
Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba
Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo
Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu
Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana
Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)
Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao
Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini
Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote
Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu
Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari
Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho
Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote
Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali
Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu
Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia
Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu
Wanaume tupende na tujali familia zetu
Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi
Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba
Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo
Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu
Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana
Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)