Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,726
1,989
Wanaume tunawatesa sana hawa wanawake inafikia stage hadi mwanamke anaongea mwenyewe jinsi gani anapitia magumu kwa mwanaume wake

Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao

Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini

Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote

Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu

Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari

Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho

Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote

Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali

Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu

Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia

Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu

Wanaume tupende na tujali familia zetu

Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi

Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba

Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo

Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu

Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana


Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)
 
Acha uongo wewe,hapa Duniani Wanaume ndio tunapitia magumu zaidi ya Wanawake.Wanawake wanatafuniwa kila kitu imagine Wanaume wanafanyawa kazi za kudhalilisha hadi utu wetu ili tu Wake zetu na Watoto waishi.

Pamoja na hayo yote at the end sisi ndio victim wa jitihada zetu wenyewe, Make na Watoto wanakuacha peke yao.
 
Wanaume tunawatesa sana hawa wanawake inafikia stage hadi mwanamke anaongea mwenyewe jinsi gani anapitia magumu kwa mwanaume wake

Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao

Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini

Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote

Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu

Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari

Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho

Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote

Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali

Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu

Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia

Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu

Wanaume tupende na tujali familia zetu

Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi

Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba

Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo

Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu

Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana


Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)

Aiseee inasikitisha sana,mwanamme anayefanya hivi dishi litakuwa limeyumba ,bora mme ushinde njaa ili familia ile ,sio unathamin mchepuko kuliko mkeo.
 
Acha uongo wewe,hapa Duniani Wanaume ndio tunapitia magumu zaidi ya Wanawake.Wanawake wanatafuniwa kila kitu imagine Wanaume wanafanyawa kazi za kudhalilisha hadi utu wetu ili tu Wake zetu na Watoto waishi.

Pamoja na hayo yote at the end sisi ndio victim wa jitihada zetu wenyewe, Make na Watoto wanakuacha peke yao.

Acha kujitetea mzee hawa wanawake wanapitia magumu mengi sana tena wanasababishiwa na wanaume
 
Wanaume tunawatesa sana hawa wanawake inafikia stage hadi mwanamke anaongea mwenyewe jinsi gani anapitia magumu kwa mwanaume wake

Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao

Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini

Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote

Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu

Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari

Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho

Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote

Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali

Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu

Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia

Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu

Wanaume tupende na tujali familia zetu

Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi

Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba

Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo

Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu

Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana


Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)

Wanaume tumekuwa wabinafsi sana
 
Wanawake ni mabingwa wa kuongea, ni mabingwa wa kutafuta huruma kwa jamii, ni watu ambao jamii inawaamini sana. Mwanamke akisema wewe ni mwizi mtaani utafungiwa tela na hata kuuawa kabisa hata kama kakusingizia tu.

Mwanamke akisema anateswa jamii itaamini hata kama ni uongo, mwanaume huwa hawasemi chochote kuhusu maumivu yao.

Mtoa uzi ujue hilo leo mwanamke atasema flani hatoi matumizi lakini huko nyuma huenda alimwambia huyu si mwanao. Huend uko nyuma alikua mchepukaji hadi baba halisi wa mtoto hajulikani ila tu kaamua kumganda mwanaume glani na kumzushia mbofu mbofu isivyo halali.

Makinika na kauli zao za kusema wanateswa na kunyanyaswa ilhali wengi wao ni viburi, jeuri, umalaya, matusi na kukosa heshima ndio vimewafikisha hapo.
 
Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Ukikuta mwanamke anateswa na mwanaume jua kuwa yeye ndiye aliyeyavuruga. Kwa maana mwanamke hajui anataka nini.
sawa kabisanakubaliana na wewe
mm sasa hivi ndio ninamsaidia X wangu ambaye tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka 6
kipindi chote hicho alikataa nimuoe na mimba akawa anatoa akisema bado
mwaka wa 7 yake nikamuacha huku nikiwa bado ninampenda sana 7bu miaka yote hiyo alikuwa ananitesa sana kwenye uhusiano na ilichukua mwakamnzima kumsahau
Basi nikaoa nikaanza maisha na mwanamke mwingine naye akaamua kuzaa na jamaa alokuwa mwenyewe anampenda
Ebwana eeeh salaleee niliambiwa maisha ya kusikitisha anayoishi lkn sikumtafuta 7bu nitaanzaje
ila ikafika stage ikabidi anitafutee aisee alikuwa anaumwa sana imagine ana mtoto miezi 3 anaumwa jamaa yake wanaishi pamoja lkn ana mpango wa kumpeleka hosptari
nikamuambia hosptari tu sawa twende nikampeleka akatibiwa baada ya mwenzi mmoja akapona kabisa
sasa kipindi anaendelea na tiba akafunguka mengi sana kuhusu jamaa yake
ila kuna kauri moja aliongea nikajua yes sasa DUNIA imemfunza alimiambia

MZIMU wako kolelo nimeamini kweli we ulikuwa unanipenda kweli na ninaamini haitatokea tena chini ya JUA kupendwa kama ulivyonipenda

nikauliza kwann

akajibu yale niliyokuwa nakufanyia mimi basi ndicho huyu bwana ananifanyia sasa
namna ninavyoumia na nikikumbuka jinsi nilivykuwa nakufanyia haya huwa mpk ninatokwa na machozi
sio nalia kwa7bu ya haya mambo ya AJABU huyu bwana anayonifanyia
hapana
ninalia kwa jinsi nilivyokuwa nakufanyia lkn still hukuninunia na ukawa unazidi kunipenda na kunivumilia hakika nilikuwa nakutesa na hichi ninachokipata sasa ninastahili na ninahisi ni malipo yangu
Mimi YATIMA tangu nazariwa lkn MWENYEZIMUNGU akanipa wewe ila nikashindwa kukutumia na madhira yanayonikuta sasa sina hata pakukimbilia zaidi yakwako
lkn hata nikwambie turudiane sidhani km inawezekana nina mtoto wewe una familia
na hata nikisema nimuache huyu bwana nina mtoto mdogo nitakwendwa wapii sina mbele sina nyuma
HAKIKA ninateseka lakini yote haya nimeyataka mwenyewe

basi mimi wala sikusema chohote zaidi ya kumwmbia pole sana
nikamuambia tu ukiwa na shida utaniambia tukaachana hvyo

ni miaka mingi sasa imepita na mtoto wake kashakua amekuwa SINGLE MAMA anatangatanga na Dunia


So kwa story hiyo kwa uchche utagundua
MWANAMKE ukiona anateseka kwa mwanaume na kunyanyasika kayataka mwenyewe 7bu kaingia sehemu kusiko stahili 7bu ya tamaa au ulimbukeni na kusahau THAMANI YA UANAMKE wake
 
Wanaume tunawatesa sana hawa wanawake inafikia stage hadi mwanamke anaongea mwenyewe jinsi gani anapitia magumu kwa mwanaume wake

Wanawake wanapitia mateso na manyanyaso makubwa sana kwa wanaume zao

Unakuta majukumu yote anaachiwa mwanamke huku mwanaume akiponda starehe bila wasiwasi wowote huku hajui watoto wanakula nini wanavaa nini

Hawa wanawake tunawabebesha mizigo mizito sana hata mwanaume ukipewa huwezi kuibeba yote

Mwanaume una unatelekeza watoto na familia bila kujua wanaishi vipi na wanapitia yapi wewe mwanaume unajijali wewe na nafsi yako huu ni ubinafsi wa hali ya juu

Mwanaume unamfanyia vitu ambavyo vinamdhalilisha mwanamke na unaona ufahari

Mwanaume unampa kimada chako kila kitu anachotaka wakati familia yako huwezi kuwafanyia kitu kama hicho

Mwanaume unamkataa mtoto au watoto wako kwasababu ya tamaa zako zisizo na umuhimu wowote

Mwanaume unamdharau mwanamke kwasababu una uwezo au kwasababu umemzalisha na kapoteza Muonekano wake wa awali

Wanaume tupunguze tamaa ambazo zitatutenganisha na familia zetu

Wanaume tupunguze UBINAFSI nikiri hili Wanaume sisi ni WABINAFSI SANA tunajilali wenyewe bila kuangalia familia

Wanaume tuwapende na tuwajali wake zetu ndo wenye umuhimu kwenye maisha yetu

Wanaume tupende na tujali familia zetu

Wanaume tuache kutelekeza damu zetu na kuzikataa kwaajili ya tamaa na ubinafsi

Wanaume tuache kuwanyanyasa wanawake na kuwatwisha mizigo mingi ambayo hawastahili kuibeba

Wanaume punguzeni ulimbukeni wa Wanawake hiyo michepuko haitokufikisha sehemu na hawatokuwa nawe kwenye kipindi utakachopatwa na matatizo

Wanaume kumpiga Mwanamke huo ni Ushamba, Ujinga na upumbavu

Hivi Wanaume unapataje nguvu ya Kunywa pombe wakati Familia yako hata cha kula hawana


Wanaume kuweni na Upendo Kwenye familia zenu kuanzia watoto na Mke wako (Family first)
jitu zima ovyo, linatelekeza mke wake wa kwanza na watoto, (linasahau familia) lilipotoka mpaka hapo lilipo then kinaona mke mdogo ndo dili.
 
sawa kabisanakubaliana na wewe
mm sasa hivi ndio ninamsaidia X wangu ambaye tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka 6
kipindi chote hicho alikataa nimuoe na mimba akawa anatoa akisema bado
mwaka wa 7 yake nikamuacha huku nikiwa bado ninampenda sana 7bu miaka yote hiyo alikuwa ananitesa sana kwenye uhusiano na ilichukua mwakamnzima kumsahau
Basi nikaoa nikaanza maisha na mwanamke mwingine naye akaamua kuzaa na jamaa alokuwa mwenyewe anampenda
Ebwana eeeh salaleee niliambiwa maisha ya kusikitisha anayoishi lkn sikumtafuta 7bu nitaanzaje
ila ikafika stage ikabidi anitafutee aisee alikuwa anaumwa sana imagine ana mtoto miezi 3 anaumwa jamaa yake wanaishi pamoja lkn ana mpango wa kumpeleka hosptari
nikamuambia hosptari tu sawa twende nikampeleka akatibiwa baada ya mwenzi mmoja akapona kabisa
sasa kipindi anaendelea na tiba akafunguka mengi sana kuhusu jamaa yake
ila kuna kauri moja aliongea nikajua yes sasa DUNIA imemfunza alimiambia

MZIMU wako kolelo nimeamini kweli we ulikuwa unanipenda kweli na ninaamini haitatokea tena chini ya JUA kupendwa kama ulivyonipenda

nikauliza kwann

akajibu yale niliyokuwa nakufanyia mimi basi ndicho huyu bwana ananifanyia sasa
namna ninavyoumia na nikikumbuka jinsi nilivykuwa nakufanyia haya huwa mpk ninatokwa na machozi
sio nalia kwa7bu ya haya mambo ya AJABU huyu bwana anayonifanyia
hapana
ninalia kwa jinsi nilivyokuwa nakufanyia lkn still hukuninunia na ukawa unazidi kunipenda na kunivumilia hakika nilikuwa nakutesa na hichi ninachokipata sasa ninastahili na ninahisi ni malipo yangu
Mimi YATIMA tangu nazariwa lkn MWENYEZIMUNGU akanipa wewe ila nikashindwa kukutumia na madhira yanayonikuta sasa sina hata pakukimbilia zaidi yakwako
lkn hata nikwambie turudiane sidhani km inawezekana nina mtoto wewe una familia
na hata nikisema nimuache huyu bwana nina mtoto mdogo nitakwendwa wapii sina mbele sina nyuma
HAKIKA ninateseka lakini yote haya nimeyataka mwenyewe

basi mimi wala sikusema chohote zaidi ya kumwmbia pole sana
nikamuambia tu ukiwa na shida utaniambia tukaachana hvyo

ni miaka mingi sasa imepita na mtoto wake kashakua amekuwa SINGLE MAMA anatangatanga na Dunia


So kwa story hiyo kwa uchche utagundua
MWANAMKE ukiona anateseka kwa mwanaume na kunyanyasika kayataka mwenyewe 7bu kaingia sehemu kusiko stahili 7bu ya tamaa au ulimbukeni na kusahau THAMANI YA UANAMKE wake
ushuhuda mzuri sana
 
Wanawake ni mabingwa wa kuongea, ni mabingwa wa kutafuta huruma kwa jamii, ni watu ambao jamii inawaamini sana. Mwanamke akisema wewe ni mwizi mtaani utafungiwa tela na hata kuuawa kabisa hata kama kakusingizia tu.

Mwanamke akisema anateswa jamii itaamini hata kama ni uongo, mwanaume huwa hawasemi chochote kuhusu maumivu yao.

Mtoa uzi ujue hilo leo mwanamke atasema flani hatoi matumizi lakini huko nyuma huenda alimwambia huyu si mwanao. Huend uko nyuma alikua mchepukaji hadi baba halisi wa mtoto hajulikani ila tu kaamua kumganda mwanaume glani na kumzushia mbofu mbofu isivyo halali.

Makinika na kauli zao za kusema wanateswa na kunyanyaswa ilhali wengi wao ni viburi, jeuri, umalaya, matusi na kukosa heshima ndio vimewafikisha hapo.
Nakazia

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom