Wanaume tunaobebesha wanafunzi mimba tusishtakiwe, mtuache tulee watoto wetu

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Habar wadau wa JamiForums
Katika kuweka mazingira ya usawa Tanzania katika Sheria zetu ningeomba uwekwe usawa katika sheria ya Mimba na mwanafunzi na iwe yenye kutufaidisha wote isiwe na double standards ya kuiona Haki ya Mwanamke peke yake Bali sheria zetu ziundwe kwa mtindo wa asilimia hamsini kwa hamsini

Serikal baada ya kuamua kua Mwanamke anapo Pata ujauzito anaweza kuendelea na shule kwa utetezi wa kua Mtoto hawezi kua mwenye hatia kisa tu kazaliwa na mama Mwanafunzi na kumfanya alelewe na mama alie kosa Elim na Baba ambae yuko jela

Hii ni Sawa Lakin naona serikal yetu imejikita Zaid kwenye kumtetea mwanamke na kuogopa kukosa Elim na kumfanya mtoto alelewe na mama ambae hajasoma

Je vip sis wanaume serikal haiona kua Watoto zetu ambao watakua ni watanzania watapewa adhabu isio wahusu ya kukua Bila maledh ya baba zao? Kisa tu baba zao wamezaa na wanafunzi?

Mimi Binafsi ningependekeza serikal yetu kama ilivyo tambua kua Si Sawa kwa mama basi pia si Sawa kwa Baba wawache walio Bebesha mimba walee Familia zao na Kusimamia Elim ya mama uku mama akipatiwa maitaji ya mtoto kwa sababu Asilimia kubwa ya wanawake wanao Pata mimba mashulen Familia zao Hua Duni na haziwezi ku handle mtoto aende shule uku wao wakilea mjukuu ivyo ni Bora Baba anae kua kahusika Asifungwe ili Asimamie Familia


Naomba kuwasilisha
 
Kumpa mwanafunzi mimba, baba anafungwa miaka 30
Mtoto analelewa na mzazi mmoja, mama akishindwa kumuhudumia mtoto anageuka kua omba omba na watoto wa mtaani wanaongezeka

Sidhani kama hii sheria ilitungwa sawa, je mama akienda kumshtaki baba kwenye dawati la Jinsia baba amekataa kutoa matunzo ya mtoto, huyo baba watampata wapi? Hii adhabu ingefaa iangaliwe upya jinsi ya kuzuia mwanafunzi wasipate mimba na sio adhabu kwa atakaempa mimba mwanafunzi
 
Kama umeruhusu Binti kuendelea kusoma shule baada ya kujifungua then unamfunga miaka 30 yule aliyempa mimba hii ni akili ya kijinga, ukifanya utafiti utagundua wanaopata mimba wakiwa shule wengi ni familia zenye kipato Duni,sasa unajikuta unaongeza umasikini zaidi kwa familia

Hapa ni kutoa elimu tu kuwa ukifanya ngono ni mimba au magonjwa libaki kuwa chaguo la mwanafunzi kufanya au lah coz wanafunzi wengi wanaopata mimba wanapata kwa kufanya ngono zaidi ya mara moja ina maana hakuna anayebakwa ni akili yao wenyewe
 
Kama umeruhusu Binti kuendelea kusoma shule baada ya kujifungua then unamfunga miaka 30 yule aliyempa mimba hii ni akili ya kijinga, ukifanya utafiti utagundua wanaopata mimba wakiwa shule wengi ni familia zenye kipato Duni,sasa unajikuta unaongeza umasikini zaidi kwa familia

Hapa ni kutoa elimu tu kuwa ukifanya ngono ni mimba au magonjwa libaki kuwa chaguo la mwanafunzi kufanya au lah coz wanafunzi wengi wanaopata mimba wanapata kwa kufanya ngono zaidi ya mara moja ina maana hakuna anayebakwa ni akili yao wenyewe
Serikal I jitasmin
 
Kumpa mwanafunzi mimba, baba anafungwa miaka 30
Mtoto analelewa na mzazi mmoja, mama akishindwa kumuhudumia mtoto anageuka kua omba omba na watoto wa mtaani wanaongezeka

Sidhani kama hii sheria ilitungwa sawa, je mama akienda kumshtaki baba kwenye dawati la Jinsia baba amekataa kutoa matunzo ya mtoto, huyo baba watampata wapi? Hii adhabu ingefaa iangaliwe upya jinsi ya kuzuia mwanafunzi wasipate mimba na sio adhabu kwa atakaempa mimba mwanafunzi
Waweke 50,50
 
Acheni ujinga nyie. Hivi kwanini mnahalalisha ngono na watoto wa shule. Hivi mnadhani tatizo ni mimba tu.
Hao watoto wanaharibika sana kisaikolojia. Kuna ulazima gani ya kufanya ngono na wanafunz.
 
Acheni ujinga nyie. Hivi kwanini mnahalalisha ngono na watoto wa shule. Hivi mnadhani tatizo ni mimba tu.
Hao watoto wanaharibika sana kisaikolojia. Kuna ulazima gani ya kufanya ngono na wanafunz.
Hatualalish ngono ila Tunataka haki iwe kwa wote sababu wanafunzi sasaiv wanaongoza pia kwa kutubaka wanaume na kututega mfano Paula
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Habar wadau wa JamiForums
Katika kuweka mazingira ya usawa Tanzania katika Sheria zetu ningeomba uwekwe usawa katika sheria ya Mimba na mwanafunzi na iwe yenye kutufaidisha wote isiwe na double standards ya kuiona Haki ya Mwanamke peke yake Bali sheria zetu ziundwe kwa mtindo wa asilimia hamsini kwa hamsini

Serikal baada ya kuamua kua Mwanamke anapo Pata ujauzito anaweza kuendelea na shule kwa utetezi wa kua Mtoto hawezi kua mwenye hatia kisa tu kazaliwa na mama Mwanafunzi na kumfanya alelewe na mama alie kosa Elim na Baba ambae yuko jela

Hii ni Sawa Lakin naona serikal yetu imejikita Zaid kwenye kumtetea mwanamke na kuogopa kukosa Elim na kumfanya mtoto alelewe na mama ambae hajasoma

Je vip sis wanaume serikal haiona kua Watoto zetu ambao watakua ni watanzania watapewa adhabu isio wahusu ya kukua Bila maledh ya baba zao? Kisa tu baba zao wamezaa na wanafunzi?

Mimi Binafsi ningependekeza serikal yetu kama ilivyo tambua kua Si Sawa kwa mama basi pia si Sawa kwa Baba wawache walio Bebesha mimba walee Familia zao na Kusimamia Elim ya mama uku mama akipatiwa maitaji ya mtoto kwa sababu Asilimia kubwa ya wanawake wanao Pata mimba mashulen Familia zao Hua Duni na haziwezi ku handle mtoto aende shule uku wao wakilea mjukuu ivyo ni Bora Baba anae kua kahusika Asifungwe ili Asimamie Familia


Naomba kuwasilisha
Mimi naona miaka 30 iwe kwa wale wanaobaka na kuomba rushwa za ngono kwa wanafunzi. Ila kama mtu amepigwa sound then ameingia king yeye mwenyewe, aachwe basi aende akalee mtoto then baadae atarudi shule na mwanaume awekwe chini ya usimamizi maalumu kuhakikisha anatoa matunzo mazuri kwenye malezi ya mtoto.
 
Habar wadau wa JamiForums
Katika kuweka mazingira ya usawa Tanzania katika Sheria zetu ningeomba uwekwe usawa katika sheria ya Mimba na mwanafunzi na iwe yenye kutufaidisha wote isiwe na double standards ya kuiona Haki ya Mwanamke peke yake Bali sheria zetu ziundwe kwa mtindo wa asilimia hamsini kwa hamsini

Serikal baada ya kuamua kua Mwanamke anapo Pata ujauzito anaweza kuendelea na shule kwa utetezi wa kua Mtoto hawezi kua mwenye hatia kisa tu kazaliwa na mama Mwanafunzi na kumfanya alelewe na mama alie kosa Elim na Baba ambae yuko jela

Hii ni Sawa Lakin naona serikal yetu imejikita Zaid kwenye kumtetea mwanamke na kuogopa kukosa Elim na kumfanya mtoto alelewe na mama ambae hajasoma

Je vip sis wanaume serikal haiona kua Watoto zetu ambao watakua ni watanzania watapewa adhabu isio wahusu ya kukua Bila maledh ya baba zao? Kisa tu baba zao wamezaa na wanafunzi?

Mimi Binafsi ningependekeza serikal yetu kama ilivyo tambua kua Si Sawa kwa mama basi pia si Sawa kwa Baba wawache walio Bebesha mimba walee Familia zao na Kusimamia Elim ya mama uku mama akipatiwa maitaji ya mtoto kwa sababu Asilimia kubwa ya wanawake wanao Pata mimba mashulen Familia zao Hua Duni na haziwezi ku handle mtoto aende shule uku wao wakilea mjukuu ivyo ni Bora Baba anae kua kahusika Asifungwe ili Asimamie Familia


Naomba kuwasilisha
Pigeni miti tu, wataendelea kusoma.
 
Haha Tayari wanaharakati wamefanikiwa kumshawoshi Rais kuhusu kuwarudisha watoto waliopata ujauzito shuleni. So sad, mtoto wa kiume hana mtetezi kwenye hili.
Sijajua serikali imejipanga vip kupunguza mimba mashuleni. Itafutwe namna na waliobeba mimba nao wawajibike. Watakuwa wanajiachia tu kwa kuwa wao hawawajibiki, la sivyo mimba zitakuwa nyingi. Waliopata mimba wanahaki ya kupata elimu, lakini sheria kali zitungwe kuwadhibiti pia, kumekuwa na kichaka cha kubakwa, na wale ambao hawajabakwa na hawajapeleka malalamiko popote! Tuache mzaha kwenye hili.
 
Habar wadau wa JamiForums
Katika kuweka mazingira ya usawa Tanzania katika Sheria zetu ningeomba uwekwe usawa katika sheria ya Mimba na mwanafunzi na iwe yenye kutufaidisha wote isiwe na double standards ya kuiona Haki ya Mwanamke peke yake Bali sheria zetu ziundwe kwa mtindo wa asilimia hamsini kwa hamsini

Serikal baada ya kuamua kua Mwanamke anapo Pata ujauzito anaweza kuendelea na shule kwa utetezi wa kua Mtoto hawezi kua mwenye hatia kisa tu kazaliwa na mama Mwanafunzi na kumfanya alelewe na mama alie kosa Elim na Baba ambae yuko jela

Hii ni Sawa Lakin naona serikal yetu imejikita Zaid kwenye kumtetea mwanamke na kuogopa kukosa Elim na kumfanya mtoto alelewe na mama ambae hajasoma

Je vip sis wanaume serikal haiona kua Watoto zetu ambao watakua ni watanzania watapewa adhabu isio wahusu ya kukua Bila maledh ya baba zao? Kisa tu baba zao wamezaa na wanafunzi?

Mimi Binafsi ningependekeza serikal yetu kama ilivyo tambua kua Si Sawa kwa mama basi pia si Sawa kwa Baba wawache walio Bebesha mimba walee Familia zao na Kusimamia Elim ya mama uku mama akipatiwa maitaji ya mtoto kwa sababu Asilimia kubwa ya wanawake wanao Pata mimba mashulen Familia zao Hua Duni na haziwezi ku handle mtoto aende shule uku wao wakilea mjukuu ivyo ni Bora Baba anae kua kahusika Asifungwe ili Asimamie Familia


Naomba kuwasilisha
mtu akibebesha mwanao ambaye ni mwanafunzi mimba utajisikiaje?
 
Habar wadau wa JamiForums
Katika kuweka mazingira ya usawa Tanzania katika Sheria zetu ningeomba uwekwe usawa katika sheria ya Mimba na mwanafunzi na iwe yenye kutufaidisha wote isiwe na double standards ya kuiona Haki ya Mwanamke peke yake Bali sheria zetu ziundwe kwa mtindo wa asilimia hamsini kwa hamsini

Serikal baada ya kuamua kua Mwanamke anapo Pata ujauzito anaweza kuendelea na shule kwa utetezi wa kua Mtoto hawezi kua mwenye hatia kisa tu kazaliwa na mama Mwanafunzi na kumfanya alelewe na mama alie kosa Elim na Baba ambae yuko jela

Hii ni Sawa Lakin naona serikal yetu imejikita Zaid kwenye kumtetea mwanamke na kuogopa kukosa Elim na kumfanya mtoto alelewe na mama ambae hajasoma

Je vip sis wanaume serikal haiona kua Watoto zetu ambao watakua ni watanzania watapewa adhabu isio wahusu ya kukua Bila maledh ya baba zao? Kisa tu baba zao wamezaa na wanafunzi?

Mimi Binafsi ningependekeza serikal yetu kama ilivyo tambua kua Si Sawa kwa mama basi pia si Sawa kwa Baba wawache walio Bebesha mimba walee Familia zao na Kusimamia Elim ya mama uku mama akipatiwa maitaji ya mtoto kwa sababu Asilimia kubwa ya wanawake wanao Pata mimba mashulen Familia zao Hua Duni na haziwezi ku handle mtoto aende shule uku wao wakilea mjukuu ivyo ni Bora Baba anae kua kahusika Asifungwe ili Asimamie Familia


Naomba kuwasilisha
duh! mbona wanafunzi wataanza kutoroshwa na kurudi wakiwa wamevimba tumbo.
 
Miaka 30 jela ni mingi sana. Wangetufanyia mwaka 1 jela na faini ya laki 5.
dog petting.gif
 
Back
Top Bottom