Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Habari wana jf,
Kuna huu usemi upo sana kwenye mitandao ya kijamii na mtaani "kila nikipata funguo za maendeleo kuna bwege anabadilisha kitasa"
Binafsi mimi huu usemi hua unanigusa sana hasa nikikumbuka asilimia kubwa ya maendeleo yangu kua hafifu yasiokua kwa kasi wanawake wamehusika kwa kiasi kikumbwa sana, unaweza usiwe unahonga sana ila kuna zile za kuwatumia/kuwapa nauli waje eneo la tukio na vimizinga vingine vidogovidogo, na kama sio home basi gest nako pia unalipia, hua tunaziona ni viela vidogo lkn ukipiga hesabu ni ela nyingi kiasi chake,
Mimi ni mwadhirika mmojawapo wa hili, ukiacha hao wa mtaani, kuna wawili niliwahi kuishi nao kwa nyakati tofauti, mmoja alikua anafumua kibubu changu kwa chini anaiba bila mi kujua hadi kuna kujua keshachota sana,
Mwingine alifikia hata kutengeneza tukio la wizi na marafiki zake wakaniibia zaidi ya ml 5 nilikua nakusanya ya kununua kiwanja.
Kifupi ingekua ni nyumba najenga ningekua na mjengo wa zaidi ya ml 50.
Najua haya majanga ya kubadilishiwa "vitasa" na wanawake ni ya wanaume wengi,
Huu usemi nimeutafsiri kwa style hii, wanaume wenzangu mnaguswaje na huu usemi kwa tafsiri yangu?
Waweza sema jinsi gani ulivyobadilishiwa "kitasa" na mpenzi au wapenzi wako.
Kuna huu usemi upo sana kwenye mitandao ya kijamii na mtaani "kila nikipata funguo za maendeleo kuna bwege anabadilisha kitasa"
Binafsi mimi huu usemi hua unanigusa sana hasa nikikumbuka asilimia kubwa ya maendeleo yangu kua hafifu yasiokua kwa kasi wanawake wamehusika kwa kiasi kikumbwa sana, unaweza usiwe unahonga sana ila kuna zile za kuwatumia/kuwapa nauli waje eneo la tukio na vimizinga vingine vidogovidogo, na kama sio home basi gest nako pia unalipia, hua tunaziona ni viela vidogo lkn ukipiga hesabu ni ela nyingi kiasi chake,
Mimi ni mwadhirika mmojawapo wa hili, ukiacha hao wa mtaani, kuna wawili niliwahi kuishi nao kwa nyakati tofauti, mmoja alikua anafumua kibubu changu kwa chini anaiba bila mi kujua hadi kuna kujua keshachota sana,
Mwingine alifikia hata kutengeneza tukio la wizi na marafiki zake wakaniibia zaidi ya ml 5 nilikua nakusanya ya kununua kiwanja.
Kifupi ingekua ni nyumba najenga ningekua na mjengo wa zaidi ya ml 50.
Najua haya majanga ya kubadilishiwa "vitasa" na wanawake ni ya wanaume wengi,
Huu usemi nimeutafsiri kwa style hii, wanaume wenzangu mnaguswaje na huu usemi kwa tafsiri yangu?
Waweza sema jinsi gani ulivyobadilishiwa "kitasa" na mpenzi au wapenzi wako.