Sema suuuuu😂😂Hamna kitu kama hicho.
Kama yupo mwanamke yeyote humu anaebisha anijaribu.
SuuuuSema suuuuu😂😂
Hahaa kama yupo anayebisha akupe Mkono mshindane siyoHamna kitu kama hicho.
Kama yupo mwanamke yeyote humu anaebisha anijaribu.
Yes. Wewe unabisha au? 😂Hahaa kama yupo anayebisha akupe Mkono mshindane siyo
Aahh mie sibishi mkuu. Isije kuwa umenizidi kipesa, kiserikali, na kiuchawi.Yes. Wewe unabisha au?
Hahaha usianye bamsi mimi ni chalii ya bakta sina maajabu yoyote kwenye nyanja zote ulizotaja.Aahh mie sibishi mkuu. Isije kuwa umenizidi kipesa, kiserikali, na kiuchawi.
Daah !! Nyama za matakoni😲😲 ndo maana tunawahi kufa. Tunakufa kwa Mengi🙌🙌Wengine nilikuta wanajadili kuhusu limbwata,
wanaambiana kuwa ukitaka kumteka mume, chukua kipande cha nyama na ukiweke matakoni usiku kucha, asubuhi chemsha na nyama zingine halafu mpe ale, hapo mume hataenda kokote utakuwa umemteka!
Hamna kitu kama hicho.
Kama yupo mwanamke yeyote humu anaebisha anijaribu.