Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

Kapeti la manyoya....ha ha ha

IMG_2439.jpg

Hili ni lipi?
 
Tuachane na shughuli kitandan tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nlidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hiv alafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni Vitu gan vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake kurudi au atake kuishi hapo kabisa

Mi nina :
1.Feni,Gesi,chumba kina Kapeti pia kuna smell good
2:Nina kafriji(hakagandishi ila ntakatengeneza)
3:sina TV ila nina Projector 100 inch ukutani na Azam tamthilia na movie hazikosekan
4:pc games za kutosha
5:Chakula cha kutosha pia(nafaka)

NB:Gari sina ila majaaliwa

[Wadada pia changien mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
twambie kwa uzoefu wako
Funguka
Sasa hicho chumba au stoo vyote humo chumba kimoja mshakaji unalala stoo so chumba
 
Tuachane na shughuli kitandan tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nlidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hiv alafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni Vitu gan vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake kurudi au atake kuishi hapo kabisa

Mi nina :
1.Feni,Gesi,chumba kina Kapeti pia kuna smell good
2:Nina kafriji(hakagandishi ila ntakatengeneza)
3:sina TV ila nina Projector 100 inch ukutani na Azam tamthilia na movie hazikosekan
4:pc games za kutosha
5:Chakula cha kutosha pia(nafaka)

NB:Gari sina ila majaaliwa

[Wadada pia changien mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
twambie kwa uzoefu wako
Funguka

Cha muhimu Ghetto liwe na Hela mkuu, vingine vyote ni nyongeza, respect!
 
Geto langu

1)Home Office, Kuna meza na kiti za ofisini Executive, juu ya meza kuna vitabu, pin board, Simple whites notes board Pembeni ya meza na Laptop...hii ndio sehemu muhimu ya geto kwaajiri ya.
_Brainstorm new ideas
_Plans n Goals
_Learning n Training new things
_Writing

2)Home Gym, kuna setup ya Free Weight Dambell, Barbell, Yoga nap, flat bench...vyote viko katika sehemu ya geto inaitwa GYM.

3)Entatainment, hapa kuna Flat TV, PS Game na Home thieta hii sehehu kwaajiri ya burudani tu.

4)Fashio n Life Style, hapa kuna hanger ya nguo safi, Dressing table, chakuwekea viatu nk.

5)Design, Hapa ni urembo wa Geto hasa wallpaper ya ukutani nzuri.

Hizi Part za room zote zipo kwenye sehemu husika na zijachukuwa nafasi kubwa kimsingi mimi napenda kuwe nanafasi kubwa iliyobaki kwaajiri ya
_Workout
_Meditation
Ndio maana siweki Sofa na kitanda kikubwa.

NB: lijafikia huko bado geto ila nipo step by step step, geto langu kwaajiri ya interest zangu.
Ghetto lako lina ukubwa gani?
 
Geto langu

1)Home Office, Kuna meza na kiti za ofisini Executive, juu ya meza kuna vitabu, pin board, Simple whites notes board Pembeni ya meza na Laptop...hii ndio sehemu muhimu ya geto kwaajiri ya.
_Brainstorm new ideas
_Plans n Goals
_Learning n Training new things
_Writing

2)Home Gym, kuna setup ya Free Weight Dambell, Barbell, Yoga nap, flat bench...vyote viko katika sehemu ya geto inaitwa GYM.

3)Entatainment, hapa kuna Flat TV, PS Game na Home thieta hii sehehu kwaajiri ya burudani tu.

4)Fashio n Life Style, hapa kuna hanger ya nguo safi, Dressing table, chakuwekea viatu nk.

5)Design, Hapa ni urembo wa Geto hasa wallpaper ya ukutani nzuri.

Hizi Part za room zote zipo kwenye sehemu husika na zijachukuwa nafasi kubwa kimsingi mimi napenda kuwe nanafasi kubwa iliyobaki kwaajiri ya
_Workout
_Meditation
Ndio maana siweki Sofa na kitanda kikubwa.

NB: lijafikia huko bado geto ila nipo step by step step, geto langu kwaajiri ya interest zangu.
Ukitupia na Picha hivi Itapendeza sana
 
Back
Top Bottom