Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Jukwaa la matineja walotoka kubalehe...Kabisa, maana hivi vitu hata kuviongelea kijiweni unaweza kuonekana kama bado huja kua
Jukwaa la matineja walotoka kubalehe...Kabisa, maana hivi vitu hata kuviongelea kijiweni unaweza kuonekana kama bado huja kua
😀 😀 😀 😀 😀 😀Aise wakat naanza maisha
Nlikua nalalia mkeka
Ila sound ukipita nje utasimama
mkuu hapa umesema nna laptop ina mwaka ila naona betri uhai wake haueleweki na 98% huwa naiweka kwenye godoroHiyo Laptop battery yake bado ni nzima kweli ??
Godoro zinaua battery balaa.
Tafuta kitu uwe unaweka juu ya godoro then ndio unakaliza Laptop.mkuu hapa umesema nna laptop ina mwaka ila naona betri uhai wake haueleweki na 98% huwa naiweka kwenye godoro
isha kata moto mkuu hii maana ilianza manyoka nyoka mara chaji haizidishi 7% naona sasa hivi haiingizi kabisa hadi nahisi imekufaTafuta kitu uwe unaweka juu ya godoro then ndio unakaliza Laptop.
Vinginevyo hiyo battery haina maisha marefu.
Imeshakufa hiyo.isha kata moto mkuu hii maana ilianza manyoka nyoka mara chaji haizidishi 7% naona sasa hivi haiingizi kabisa hadi nahisi imekufa
Hahahah nikitia ngoma zangu huwa naitoa wee ..Mkuu iyo Flat hapo juu iyo Bass ikipiga masaa 5 haita iangusha kwelii!!?
haaaKwenye sabufa.
Sor elena Mada mkuluuu....hapa hatuzungumziii nyumbaaa .....GETO....BABA ACHA KUJINADIIII......kwa city vya msshuaaaa wakoGeto langu
1)Home Office, Kuna meza na kiti za ofisini Executive, juu ya meza kuna vitabu, pin board, Simple whites notes board Pembeni ya meza na Laptop...hii ndio sehemu muhimu ya geto kwaajiri ya.
_Brainstorm new ideas
_Plans n Goals
_Learning n Training new things
_Writing
2)Home Gym, kuna setup ya Free Weight Dambell, Barbell, Yoga nap, flat bench...vyote viko katika sehemu ya geto inaitwa GYM.
3)Entatainment, hapa kuna Flat TV, PS Game na Home thieta hii sehehu kwaajiri ya burudani tu.
4)Fashio n Life Style, hapa kuna hanger ya nguo safi, Dressing table, chakuwekea viatu nk.
5)Design, Hapa ni urembo wa Geto hasa wallpaper ya ukutani nzuri.
Hizi Part za room zote zipo kwenye sehemu husika na zijachukuwa nafasi kubwa kimsingi mimi napenda kuwe nanafasi kubwa iliyobaki kwaajiri ya
_Workout
_Meditation
Ndio maana siweki Sofa na kitanda kikubwa.
NB: lijafikia huko bado geto ila nipo step by step step, geto langu kwaajiri ya interest zangu.
Hapa ni godown ndogo panaelekea kuwa geto...hapa tusema ni ghetto amaView attachment 1737766
Geto langu
1)Home Office, Kuna meza na kiti za ofisini Executive, juu ya meza kuna vitabu, pin board, Simple whites notes board Pembeni ya meza na Laptop...hii ndio sehemu muhimu ya geto kwaajiri ya.
_Brainstorm new ideas
_Plans n Goals
_Learning n Training new things
_Writing
2)Home Gym, kuna setup ya Free Weight Dambell, Barbell, Yoga nap, flat bench...vyote viko katika sehemu ya geto inaitwa GYM.
3)Entatainment, hapa kuna Flat TV, PS Game na Home thieta hii sehehu kwaajiri ya burudani tu.
4)Fashio n Life Style, hapa kuna hanger ya nguo safi, Dressing table, chakuwekea viatu nk.
5)Design, Hapa ni urembo wa Geto hasa wallpaper ya ukutani nzuri.
Hizi Part za room zote zipo kwenye sehemu husika na zijachukuwa nafasi kubwa kimsingi mimi napenda kuwe nanafasi kubwa iliyobaki kwaajiri ya
_Workout
_Meditation
Ndio maana siweki Sofa na kitanda kikubwa.
NB: lijafikia huko bado geto ila nipo step by step step, geto langu kwaajiri ya interest zangu.
mwanaume unakaa geto kufanya nini!?. Kukaa geto huo ni umama!. mimi hua nalala nje mitaa ya shekilango pale!.
Ntachukua geto/chumba/nyumba nkioa.
Haaahaaahaaamm nna kitanda na godoro lake feni imeharibika ***** aizunguki tangu juzi,,
tv ipo king'amuzi sijalipia kama huumwezi wa pili sasa
kabati la nguo
meza ya jiko la ges na meza ya tv
,,,kwa kifupi chumba kidgo sana vitu vingi nikiwa napika chumba kizima kinajaa moshi daaab naboreka sana nikiwa mkubwa ntapanga chumba na sebure
ilifika mahali nikawa napakimbia geto hata wagen siwataki kuwaona ...sababu tu sipapendi .
Can I have a pic of your ride?umeniimpressHayo maisha nimesha yapita sasa ila nilienjoy sana. Nilipomaliza chuo niliendelea kukaa maeneo ya chuo coz michongo yangu nilikuwa nikifanya maeneo ya chuo.
So nilikuwa nikipata pata vipesa sana vya kulia bata na uzuri nilikuwa nanunua assets za kisasa, simu za kuanzia 1.6m nakuendelea.
Hakuna demu aliyewai ingia geto kwangu akachomoa. Nilikuwa napata sana changamoto ya kunganganiwa na mademu mpaka nikawa nakuwa naogopa kutongoza na kuwaleta hovyo getto kwangu. Tena hawa wanafunzi wa secondary kidogo waniletee hata msala.
Vitu Nilivyokuwa navyo naona ni vya kawaida sana kwa sasa ila miaka ya 2010 to 2015 havikuwa vitu vya kawaida kumiiiki kwa kijana kama mimi. Na sababu sikuwa na kazi mmaalumu wengi walibaki wakifikiri mimi ni usalma wa taifa kumbe mhuni tu mmmoja.
Ila sasa sijuu getto nyinyi vijana wa sasa mnatakiwa mwe na nini maana haya matv, sijui subwoofer, fridges ni nothing. Wadada siku hizi wanaangalia unaendesha ndinga ya namna gani bac.
So if you want to impress girls, have a ride.