Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,546
- 225,121
Hoja gani unazotaka nikujibu?Heeee!!! Mkuu Dada jibu hoja! acha jibu rahisi kwa swali gumu! niko vizurii! wee acha kabisa! kupiga injili ni popote!
Kuna mdau aliomba niongelee mtazamo wangu juu ya comment #84 ndiyo maana nikaongelea..
Naona umekazana kusema hainihusu wakati hukuniuliza wewe.
Msimamo wangu ni ule ule na niliyoyaongea ni yale Yale wala hayabadiliki na wewe Kama una hio tabia ya kuhalalisha dhambi kwa sababu fulani alifanya basi uache