Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,688
- 5,446
Kuna rafiki yangu kipenzi sana tupo kama ndugu, ni msomi mzuri sema amekosa connection ya kupata kazi ya maana. Ni muda sasa amekuwa akiishi kwa mama mmoja ana watoto wawili kila mmoja na baba yake. Katika hawa watoto wawili kuna mmoja baba yake yupo vizuri kiuchumi hivyo anasoma shule nzuri tu.
Huyu baba mwenye uwezo ndio amempangia nyumba nzima huyu mama, jamaa huwa anakuja kumuona mwanae mara kwa mara. Huyu rafiki yangu Kwa sasa kapata ajira huko GSM, pindi anapotoka kazini akifika nyumbani akikuta gari ya jamaa imepaki hapo nje humlazimu kutafuta sehemu nyingine ya kwenda kukaa mpaka jamaa atakapotoka.
Yule mama sijui kampa nini mshikaji, nimejaribu kumshauri haya ni maisha gani unayoishi, rafiki yangu huyu anaelewi kabisa. Majibu yake ni kuwa anataka kumuowa huyu mwanamke, mwanamke ni muislamu, jamaa amebadiki na dini kabisa hataki masihara, kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Huyu baba mwenye uwezo ndio amempangia nyumba nzima huyu mama, jamaa huwa anakuja kumuona mwanae mara kwa mara. Huyu rafiki yangu Kwa sasa kapata ajira huko GSM, pindi anapotoka kazini akifika nyumbani akikuta gari ya jamaa imepaki hapo nje humlazimu kutafuta sehemu nyingine ya kwenda kukaa mpaka jamaa atakapotoka.
Yule mama sijui kampa nini mshikaji, nimejaribu kumshauri haya ni maisha gani unayoishi, rafiki yangu huyu anaelewi kabisa. Majibu yake ni kuwa anataka kumuowa huyu mwanamke, mwanamke ni muislamu, jamaa amebadiki na dini kabisa hataki masihara, kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.