kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Wakuu habari za asubuhi,
Hii mada nimeileta kwenu waungwana wanaume wenzangu kuwakumbusha na kuwashauri tuache kujisahau na baadae kuja kulalamika wanawake wabaya hiyo haifai wazee
Nimekumbuka hata kiss cha kwenye maandiko hicho kinaonyesha wanaume tunavyojisahau tangu Enzi na enzi embu jiulizeni wakati nyoka anamdanganya Hawa , Adam alikuwa wapi?
Hii mada nimeileta kwenu waungwana wanaume wenzangu kuwakumbusha na kuwashauri tuache kujisahau na baadae kuja kulalamika wanawake wabaya hiyo haifai wazee
Nimekumbuka hata kiss cha kwenye maandiko hicho kinaonyesha wanaume tunavyojisahau tangu Enzi na enzi embu jiulizeni wakati nyoka anamdanganya Hawa , Adam alikuwa wapi?