Ananisumulia shoga yangu tukiwa kwenye "ulabu" yaliyomkuta.
Anasema kuna bwana alikuwa anamtaka awe rafiki yake kimapenzi lakini sasa tongozo za yule bwana zimemfanya amfyekelee mbali hataki hata kumuona wala kumsikia. Anasema maneno ya bwana yule kwenye mtongozo yalikuwa:
1. Fulani naomba Unilee
2. Fulani mie tulizaliwa pacha watatu hivyo maziwa ya mama yalikuwa hayatoshi kutunyonyesha sehemu kubwa tumekuzwa kwa maziwa ya kopo na ng'ombe, hivyo naomba ninyonye ziwa lako...
3. Naomba basi unipatie mambo
Kanungila Karim njoo ushukuru wa taarifa. hahahahah
Anasema kuna bwana alikuwa anamtaka awe rafiki yake kimapenzi lakini sasa tongozo za yule bwana zimemfanya amfyekelee mbali hataki hata kumuona wala kumsikia. Anasema maneno ya bwana yule kwenye mtongozo yalikuwa:
1. Fulani naomba Unilee
2. Fulani mie tulizaliwa pacha watatu hivyo maziwa ya mama yalikuwa hayatoshi kutunyonyesha sehemu kubwa tumekuzwa kwa maziwa ya kopo na ng'ombe, hivyo naomba ninyonye ziwa lako...
3. Naomba basi unipatie mambo
Kanungila Karim njoo ushukuru wa taarifa. hahahahah