WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
mimi sidhani kama kuna tatizo, je kama ana wake wawili kwa wale waislam amtambulishe hawara wakati ni mke wake?
Hata kwa waislam, mke ni tofauti na hawara ndugu.
Hawara ni mwanamke wa pembeni ambaye hajaolewa na mhusika.Yaani hakuna Nikah