Wanaume someni hii

BINTI77

Member
Sep 13, 2011
83
11
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.
 
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.
nni inauma................hyo naniliu au???au umeumia kidole akati unaclick button mana umeandika kwa hasira sana
 
Ushauri kwako kama mama, au kwa wote wanaokumbana na tatizo kama hilo. Mtoto ni jukumu kubwa, kwa hiyo hata msichana/mwanamke, kama hana hakika kama anaweza kumlea mtoto hata akiwa peke yake, basi inafaa "aibane".

Katu asikiwache tu kwa kufikiria kuwa baba atamshughulikia mtoto kwa kuepusha tatizo kama hilo. Kuna mababa ni wakorofi, hao wanajulikana na ni wa kuepukwa kama UKIMWI. Lakini pia kuna na mengine tusiyoyatarajia kama vile kufariki kwa huyu baba. Tuseme imetokezea hili la mwisho, nawe hukujitayarisha kukabili ulezi, ungelifanyaje?
 
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.

Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?

Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?

Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!

Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
 
Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?

Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?

Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!

Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu?

kwa majibu haya
tunaweza pia kusema wale abiria wa meli iliyozama kule zanzibar
ukiacha watoto wadogo....wengine wote walijitakia?
si waliona imejaa na hakuna nafasi lakini wakaingia hivyo hivyo??????

hili ni swali tu,sio mtazamo wangu.....
 
kwa majibu haya
tunaweza pia kusema wale abiria wa meli iliyozama kule zanzibar
ukiacha watoto wadogo....wengine wote walijitakia?
si waliona imejaa na hakuna nafasi lakini wakaingia hivyo hivyo??????

hili ni swali tu,sio mtazamo wangu.....


Tafadhali sana usilete mfano wa roho za watu waliokuwa wanasafiri kufananisha na hii zinaa ya kubebeshwa mimba.
 
once a woman got pregnant while nt married any sensible man will hv two options; one to accept the responsibility to take care of the baby n the woman n secondly declare his interest is only to the baby n therefore accepting responsibility even if there will be relationship btn the two.

NAWACHUKIA WANAUME WANAOKATAA MAJUKUMU YAO..,i knw sasa hivi kunakutegesheana, au mtu anakuchomekea mimba ili aolewe bt wewe mwanaume chuja bana, kataa kuendeleza mahusiano ya mapenzi na huyo mwanamke but kukataa mimba na kumkana mtoto hiyo sio kabisa, na walaaniwe wote wenye kufanya hivyo...'it takes two to make a baby '
 
Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?<br />
<br />
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?<br />
<br />
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!<br />
<br />
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
<br />

Sawa Bi.Fitna Ponza wa kipindi cha LEO TENA...
<br />
 
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.

Pole mamake haijaanza leooo..
wengine waliachwa kwenyee mataa wakiwa ndani ya ndoa
na watoto zaidi ya wawili.. Na mambo haya ni mazito kidogo kuongela juu juu hivi
muhimu kuwa na msimamo usimtegemee huyu mwanume 100% .. na we uwe na njia
ya kujikimu hata mambo ya kichachuka haujaachwa kwenye giza tororo..
kuwa "SUPER WOMEN" wamepitia wengi , wanapitia wengi, na watapitia wengi..
be "strong" utashinda tu..
 
Wengine hata hawajakataa watoto... But ni baba jina.... inauma zaidi, it is better ujue wewe ni single parent kuliko unalea watoto wako kwa kila kitu... hana hata habari, akija salimu watoto hata kama baada ya mwaka, anaishia kuwapa alfu 10 or 5 watoto ni wadogo, they don't understand wanafuraaaaahi kua dad kaja katuachia hela.... (alfu 10 baada ya mwaka... kama anakutusi vile na kukuonesha kua sitafanya kitu lakini watoto ni wangu and they adore me...) aaaarrrrrgggggh!!!
 
1. Inabidi kuwe na uhakika usio na mashaka kwamba mtoto ni wake.
2. Kama urafiki wenu umeingia doa lakini yuko tayari kuhudumia mtoto inabidi ukubali kwamba anayehudumiwa ni mtoto siyo wewe.
3. Hata kama amekubali kutoa huduma kwa kiasi fulani, usimtegemee kwamba atafanya kila kitu. Tatizo wanawake wengine ukizaa naye anakutegemea kwa kila kitu kwa kisingizio cha mtoto.
4. Changamoto kwenu wanawake mwelewe kuwa kuzaa na mwanaume haikuhakikishii kutunzwa kama mtoto atakavyotunzwa.

NB: Na nyie minjembanaokataa kutunza watoto wakati mna uhakika kuwa ni wenu acheni hizo. Mnawapa watoto maumivu wasiyostahili. Kukosana kwako na hawala yako msimwingize mtoto, yeye hana kosa.
 
FF,kuna wanaume tena kwenye ndoa,wanatembeza kengele tu! hatunzi familia na likirudi linakaa mezani kula alichotafuta mke! na anajiita baba! kukataa kutunza watoto haina maana kuwa kakataa kuoa,bora angekataa kuoa kikaeleweka!
mtoa mada,kwa kiasi flani nakubaliana na FF.kama unaweza kupata mimba isiyo na plan maana yake unaweza kupata na ukimwi pia.kama kuna mahali Mungu katupendelea,ni kwenye uamuzi wa kuanza mchakato wa kubeba mimba!na serikali yetu legelege walau hapa imefaulu,uzazi wa mpango bure hadi vijijini!take control of ur life,tena hata kwa siri.mwanaume hawezi kukulazimisha uzae watoto 10,si unamuambia hazikamati! kha!
 
Duh!..kumbe hizi mimba ni mambo ya kujitakiaga tu..au mitegoo?(misukule ya mapenzi-mbu)..Faiza leo umewaamulia
Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?<br />
<br />
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?<br />
<br />
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!<br />
<br />
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
<br />
<br />
 
Wengine hata hawajakataa watoto... But ni baba jina.... inauma zaidi, it is better ujue wewe ni single parent kuliko unalea watoto wako kwa kila kitu... hana hata habari, akija salimu watoto hata kama baada ya mwaka, anaishia kuwapa alfu 10 or 5 watoto ni wadogo, they don't understand wanafuraaaaahi kua dad kaja katuachia hela.... (alfu 10 baada ya mwaka... kama anakutusi vile na kukuonesha kua sitafanya kitu lakini watoto ni wangu and they adore me...) aaaarrrrrgggggh!!!

Hili jambo liko very Complex.......... wakati mwingine binti anaweza kubeba Mimba... yawezekana kwa bahati mbaya au kwa kukusudia ili aolewe, lakini wazazi wakigundua kuwa mwenye mimba hana back ground nzuri, let say financially au kabila,(kuna wazazi wengine huwakataa wachumba wa watoto wao kwa sababu ya kabila) na wakati mwingine hata dini. Labda niseme tu kwamba swala la dini ndio limechukua nafasi kubwa katika maamuzi ya wazazi kuhusu ndoa za mabinti zao. Je kama kijana ataamua kuoa mke mwingine na kutokana na kutokuwa stable financially akashindwa kubeba majukumu ya pande mbili yaani kuhudumia mtoto wake wa nje na kuhudumia familia yake, wa kulaumiwa ni nani?
Hapa nadhani wazazi wanatakiwa waubebe huo msalaba kwa sababu wao ndio chanzo cha kuvunja mahusiano ya mtoto wao na kijana.......
Kuna wakati yawezekana kabisa kijana anayo nia nzuri ya kumlea mtoto wake lakini uwezo huo hana. Je afanyeje? na ikumbukwe kwamba baba hawezi kumchukua mtoto akiwa na umri mdogo, kuna umri maalum ambao unaruhusiwa kisheria baba kumchukua mtoto.
Ninayo mifano mingi kuhusiana na jambo hili na ndio maana nikasema lina mkanganyiko mkubwa.
 
Hili jambo liko very Complex.......... wakati mwingine binti anaweza kubeba Mimba... yawezekana kwa bahati mbaya au kwa kukusudia ili aolewe, lakini wazazi wakigundua kuwa mwenye mimba hana back ground nzuri, let say financially au kabila,(kuna wazazi wengine huwakataa wachumba wa watoto wao kwa sababu ya kabila) na wakati mwingine hata dini. Labda niseme tu kwamba swala la dini ndio limechukua nafasi kubwa katika maamuzi ya wazazi kuhusu ndoa za mabinti zao. Je kama kijana ataamua kuoa mke mwingine na kutokana na kutokuwa stable financially akashindwa kubeba majukumu ya pande mbili yaani kuhudumia mtoto wake wa nje na kuhudumia familia yake, wa kulaumiwa ni nani?
Hapa nadhani wazazi wanatakiwa waubebe huo msalaba kwa sababu wao ndio chanzo cha kuvunja mahusiano ya mtoto wao na kijana.......
Kuna wakati yawezekana kabisa kijana anayo nia nzuri ya kumlea mtoto wake lakini uwezo huo hana. Je afanyeje? na ikumbukwe kwamba baba hawezi kumchukua mtoto akiwa na umri mdogo, kuna umri maalum ambao unaruhusiwa kisheria baba kumchukua mtoto.
Ninayo mifano mingi kuhusiana na jambo hili na ndio maana nikasema lina mkanganyiko mkubwa.


Hapo in blue pamoja na kusema it plays part.... nafikiri hapa Binti yupo more interested na wale wa kukataa mimba moja kwa moja... no matter harusi iwepo ama isiwepo... wangapi wamezaa na watoto wanatunzwa na baba zao but hawajaoana na the woman in question.... Ni wengi....

Hio in red... Inategemea.. mambo mengi saana... huyo alopewa mimba ana umri gani for instance... IMO kama ni 21 and below... wa kulaumiwa ni mkaka.. wanaume hapa inatakiwa awe more responsible (thou pia mdada) kumprotect huyo binti kuto pata mimba hasa kama anajua hawana mpango wa kuoana yet... has ukizingatia umri huo wanawake na young and naive..... Kama mwanamke ana lest say 25... IMO hapaswi kushika mimba bila makubaliana ya yeye na Mpenzi wake, for iyo ni age ambayo unajua kabisa SEX yaweza tumika kama starehe ama kupata mtoto... Hapo ukipata mimba... kama the guy atakataa kua ataki kuhusika, huwezi mlaumu saaana, thou kwa a good guy aki acknowledge... that is well and good...

Kwa kuongezea... hii mada kupata jibu Mtambuzi please leave wazazi out of it! Mie najua mwanaume wa kweli awe maskini ama tajiri kama anataka mtoto wake he FIGHTS!!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom