tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Mwanamke hupenda pesa zaidi, wakati wanaume huhitaji sex zaidi. Ikitokea mwanaume amemuomba haraka sex mwanamke ataambiwa ni mapema sana. Lakini wakati huo huo Wanawake huomba hela haraka haraka kabla ya kutoa show.
Hii ni hakika kwamba wanaume tunahitaji kutafuta pesa zaidi ili tupate sex toka kwa mwanamke.
kwa sababu Wanawake walishajua udhaifu wetu ni sex, basi hukitumia kigezo hicho kutukomoa kwa kutunyonya pesa haswaaa.
Na ni hakika, kwamba wao wamepewa kiungo huru kabisa wanachokitumia kama mtaji wa pesa.
TUTAFUTENI PESA ZAIDI. HAKUNA MAPENZI BILA PESA
Hii ni hakika kwamba wanaume tunahitaji kutafuta pesa zaidi ili tupate sex toka kwa mwanamke.
kwa sababu Wanawake walishajua udhaifu wetu ni sex, basi hukitumia kigezo hicho kutukomoa kwa kutunyonya pesa haswaaa.
Na ni hakika, kwamba wao wamepewa kiungo huru kabisa wanachokitumia kama mtaji wa pesa.
TUTAFUTENI PESA ZAIDI. HAKUNA MAPENZI BILA PESA