Wanaume njooni niwape Code na Password kuhusu wanawake

Morg

JF-Expert Member
Oct 20, 2018
1,301
1,766
Katika siku za hiv karibuni kumeongezeka suala la haki sawa wanawake wakitaka usawa pamoja na wanaume lakini hawajui madhara yake ndicho tunachokipanda Sasa ipo siku tutakuja kukivuna ni hatari iliyoje.

Nguvu na nafasi ya mwanaume katika jamii inaenda ikipotea kadri siku zinavyosonga ni utandawazi balaa linakuja talaka imekuwa ni Jambo la kawaida tofauti na kutafuta suluhisho endapo ugomvi utakuwepo kwenye ndoa mwanamke anataka kuwa juu ya mwanaume katika familia huku akiyasahau majukumu yake.

Vita inaanzia hapa KATIKA HII DUNIA CHINI YA JUA HAKUNA QUEEN PASIPO PRINCESS utasikia wanawake wakileo wakishauriana kuolewa sio lazima ndugu kuolewa ni moja ya GREAT EVENT AND ADVENTURE katika maisha ya mwanamke asikudanganye mtu watafarijiana lkn kiukweli utabakia moyoni mwake yeye akiishia kuubadilisha ukweli lakini wap tazma clip ya video ya mlima wa Moto jinsi wanawake walivyowengi wenye uhitaji wa kuolewa tena kwa majonzi wanalia usiku na mchana mbele za Mungu ewe mwanamke badilika the World is change in generally.

Mheshimu mume au mke wako katika maisha yenu nyote kila siku muombeane baraka kwakuwa ndio stage ya mwisho na kifo ndo kitawatenganisha.

Katika utafiti ukifanyika USA watalam wanasema 97% ya wanawake wameolewa na watu wasio wapenda najua hapa utashangaaa lakini ni kweli Kwan wanawake wanakuwa na vigezo vingi vya mwanaume ampendae lakini kibaya hayupo mwenye hivyo vigezo chini ya jua anaishia kuolewa na mtu ambae sio pendekezo lake now day's jiulize ww ndiwe ulikizi ukipata jibu nitag
Wanaume kuwa Makini sana unapotaka kuoa kwani ndipo penye hatima ya maisha yako yote endapo utakosea kuoa jua umekosea kuishi hapa duniani utajuta usioe shepu sura wala rangi.

Aliyeachika siku zote anageuka motivational speaker ili kupotosha wengine

Nawatakia kila la kheri katika ujenzi wa taifa KESHO muwahi makazini mwenu
 
Maisha hayana formular
Mapenzi hayana formular..ni kukutanisha tu.
Kwa ufupi haya mambo hayana mwenyewe huja Automatically
 
Nadhani maneno uliyoandika kwa herufi kubwa ndo code n password sema tatizo kutofautisha ipo ni ipi ndo changamoto .
 
Hili zimwi liitwalo ndoa halina maana zama hizi. Malengo makuu ya ndoa ni consummation. Sasa ktk zama hizi mabachela wana-consume kweli kweli. Ndoa ya nn sasa?

Nchi zilizoendelea e.g Japan, Marekani na nchi za Ulaya ndoa zilishakuwa adimu sana. No tendo ambalo hutokea Mara moja kwa miaka mingi
 
Aliyeachika siku zote anageuka motivational speaker ili kupotosha wengine
Halafu wengi wako strong mdomoni, ila moyoni wako weak sana
 
Ni mimi tu....maana sijaona code yoyote hapo...umeandika kwa kumbia sana...siku nyingine ili ueleweke unatakiwa utulize akili kabla ujatuletea bandiko lako..
 
Back
Top Bottom