LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Niliwahi kuweka uzi hapa kuwa mpenzi wangu nilimkuta na mimba isiyoeleweka wakati nilitumia Condom kwa usahihi, akawa anataka kuitoa, nikamwambia hakuna kutoa la sivyo ningempeleka polisi, alichokuwa anakimbilia kuitoa alicheza rafu na alikubali mimba sio yangu baada ya kumbana aseme ukweli.
Sasa nyumba ya jirani yangu ana binti ambaye alikuwa anatabia za kuwapanga wanaume bila kujuana sasa, alipata mimba akajifungua lakini anachukua hela ya matunzo kutoka kwa wanaume watatu bila ya wao kujuana na wote wanatuma matumizi na kila mwanaume anakuja kwa kupangiwa muda na huyo binti na huu uhuni anaufanya kwasababu anaishi na mama yake tu na mama nae ni wale wale, Shangingi la zamani.
Nimechokaa wakuu baada ya kupata hizi habari, jamani ukiona unaishi na mwanamke haeleweki jua utakuja kulea damu isiyo yako, wanaume tuamke jamani tunapigwa vipanga na hawa wanawake, ukiona mtoto ulieambiwa ni wako kafikisha miaka miwili hana sura yako wala ya dada zako au shangazi zako hata ya mama yake haipo, kapime DNA.
Wanawake sasa hivi wanapanga wanaume bila kujuana, ikitokea mimba inapelekwa kote kote na anakula matumizi, ukiishi na mwanamke mcharuko na akizaa mtoto kapime DNA tu, now tupambane na hivi viumbe tuepuke kupigwa.
Haiwezekani mtu ulee mtoto sio wako kwa miaka 18, hiyo hela ni heri ungenunua tofali ujenge, hamna kitu kinauma kama kutoa milioni moja unamlipia mtoto shule alafu unakuta damu sio yako, mwanamke anakuchora tu.
Sasa nyumba ya jirani yangu ana binti ambaye alikuwa anatabia za kuwapanga wanaume bila kujuana sasa, alipata mimba akajifungua lakini anachukua hela ya matunzo kutoka kwa wanaume watatu bila ya wao kujuana na wote wanatuma matumizi na kila mwanaume anakuja kwa kupangiwa muda na huyo binti na huu uhuni anaufanya kwasababu anaishi na mama yake tu na mama nae ni wale wale, Shangingi la zamani.
Nimechokaa wakuu baada ya kupata hizi habari, jamani ukiona unaishi na mwanamke haeleweki jua utakuja kulea damu isiyo yako, wanaume tuamke jamani tunapigwa vipanga na hawa wanawake, ukiona mtoto ulieambiwa ni wako kafikisha miaka miwili hana sura yako wala ya dada zako au shangazi zako hata ya mama yake haipo, kapime DNA.
Wanawake sasa hivi wanapanga wanaume bila kujuana, ikitokea mimba inapelekwa kote kote na anakula matumizi, ukiishi na mwanamke mcharuko na akizaa mtoto kapime DNA tu, now tupambane na hivi viumbe tuepuke kupigwa.
Haiwezekani mtu ulee mtoto sio wako kwa miaka 18, hiyo hela ni heri ungenunua tofali ujenge, hamna kitu kinauma kama kutoa milioni moja unamlipia mtoto shule alafu unakuta damu sio yako, mwanamke anakuchora tu.