Julius Jr
Member
- Jul 12, 2015
- 99
- 187
Miss Natafuta ur too judgemental.......kuna kukopa na kuomba.....kuomba kuna lugha yake na kukopa kuna lugha yake pia...wanawake weng wanapokopa huwa hawaongei lugha ya kukopa bal ya kuomba na ndio maana unakuta wanaume wanakimbia......
Pia kuna situations za kumuamin mwanamke km kwel anakopa ama ni just anataka akupige mzinga butu.....mfano wanawake weng mkishafahamiana after few months lazm akupige mzinga....ichi kitu huwa kinawashushia credibility san kwa wanaume...tunaishia kuona sasa hapa nlikoingia siko kabsa...
So dont be one way oriented.....
Pia kuna situations za kumuamin mwanamke km kwel anakopa ama ni just anataka akupige mzinga butu.....mfano wanawake weng mkishafahamiana after few months lazm akupige mzinga....ichi kitu huwa kinawashushia credibility san kwa wanaume...tunaishia kuona sasa hapa nlikoingia siko kabsa...
So dont be one way oriented.....