Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,885
- 8,955
hata kama hata lipa ila naweza kumdai hata kwa kumchukulia kitu chake cha thamani ila mwanamke kumdai inakuwa taabu kidogo in short tu siwezi kudai daiwanaumewote wanalipa?
hata kama hata lipa ila naweza kumdai hata kwa kumchukulia kitu chake cha thamani ila mwanamke kumdai inakuwa taabu kidogo in short tu siwezi kudai daiwanaumewote wanalipa?
Kusaka tunasaka lakini pia kuna zile shida za hapa na pale hujitokeza hivyo muwe mnajiongeza jamani.Tatizo wanawake huwa mnafikiri pesa ni suluhisho la shida zenu, omba maarifa ya kusaka pesa.
Kingine mkikopa kulipa mna tabu sana, mnapenda kutumia udhaifu wetu kama kinga dhidi ya deni. Kwa mwanaume mwenye akili huwa hakopeshi mwanamke ila anatoa kama kusaidia tu and not otherwise.
sasa maana ya urafiki ni nini kama huwezi kumsaidia mwenzako?hata kama hata lipa ila naweza kumdai hata kwa kumchukulia kitu chake cha thamani ila mwanamke kumdai inakuwa taabu kidogo in short tu siwezi kudai dai
Basi muwe mnatupatia tu.katika vitu ninavyoviogopa ni kumkopesha mwanamke maana najua tu siwezi kumdai..bora nimkopeshe mwanaume maana nitamdai hata kwa nguvu
Eeeh uwe unatoa tu, kumdai mwanamke nako ni dhambi jamani.Ukimkopesha mwanamke umepoteza bora nikupe tu kama ninayo ila sio den, kuna wengi nimewakopesha ila mpaka Leo bila bila sijapewa hata shilling moja.
Si ndio hapo sasa!!mtu anakuwa na roho mbaya mpaka kwake mwenyewe
sasa maana ya urafiki ni nini kama huwezi kumsaidia mwenzako?
Basi muwe mnatupatia tu.
Hapana demi, wachache waliotayari kujifunza mbinu. Wengi ni maprofessional wa kutumia tu.Mkiombwa maarifa hamtoi
Utasemaje huna wakati unayokama huna sema huna sio unakimbia .kwani ni lazima?
wana maarifa gani wamepigika tu kama sisi
basi ukiombwa sema sina sio unakimbia urafikiConfidence ya kuwadai ndio hatuna na sio ya kuwakopesha.
kama unayo toaUtasemaje huna wakati unayo
Sawa Sinabasi ukiombwa sema sina sio unakimbia urafiki
huo ndo uanaumeSawa Sina
Kwahyo urafik unaendlea?huo ndo uanaume
nipo super coolKwahyo urafik unaendlea?