happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
Naiman kwa uwezo wa Mungu mko wazima
Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama
Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa mume wangu huyu wa sasa pia ninamtoto 1
Mtoto alikua anaishi nyumban kutoka afya ya mama sio nzuri ikalazimika mama kwenda kwa kaka angu ivyo ikabidi nikamchukue mtoto nikae na huyu mume wa sasa hakua na tatizo
Kilichonifanya nije hapa huyu mwenzangu anakipato kizuri tu anasomesha mdogo wake 1
Na watoto wa dada ake ambae hana uwezo wawili 2 wote private
Imagine likizo ikiisha wanakuja nyumbani anaenda anawalipia ada na kuwanunulia mahitaji yote ya shule wa kwangu hata daftari tu hakuna yan hata ile begi la shule
Silamimiki amsomeshe ada hua nalipa mimi lkn kweli unaishi nyumba moja na mtoto anakuita baba hata uniform tu hamna mbaya zaidi uwezo unao unawajali wadogo zako tu yan hua naumia sana
Mwaka jana niliongea nae nikamwambia aache uabaguzi lkn nadhan moyoni hataki tu
Mwaka jana pia ikitoka mtoto wangu alifukuzwa ada alikua anadaiwa laki 1 mimi nilikua bestest naumwa ndani ivyo biashara zangu zikasimama nikamuomba naomba laki moja nimlipie ada mtoto akaniambia subir mtoto akakaa nyumban, Mungu alivyo wa ajabu baada ya wiki mdogo wake akasimamishwa ajabu akamlipia mdogo wake laki 3 hata siku moja hakuacha kwenda shule wangu hakumlipiaa mpaka nikaenda kukopa.
Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama
Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa mume wangu huyu wa sasa pia ninamtoto 1
Mtoto alikua anaishi nyumban kutoka afya ya mama sio nzuri ikalazimika mama kwenda kwa kaka angu ivyo ikabidi nikamchukue mtoto nikae na huyu mume wa sasa hakua na tatizo
Kilichonifanya nije hapa huyu mwenzangu anakipato kizuri tu anasomesha mdogo wake 1
Na watoto wa dada ake ambae hana uwezo wawili 2 wote private
Imagine likizo ikiisha wanakuja nyumbani anaenda anawalipia ada na kuwanunulia mahitaji yote ya shule wa kwangu hata daftari tu hakuna yan hata ile begi la shule
Silamimiki amsomeshe ada hua nalipa mimi lkn kweli unaishi nyumba moja na mtoto anakuita baba hata uniform tu hamna mbaya zaidi uwezo unao unawajali wadogo zako tu yan hua naumia sana
Mwaka jana niliongea nae nikamwambia aache uabaguzi lkn nadhan moyoni hataki tu
Mwaka jana pia ikitoka mtoto wangu alifukuzwa ada alikua anadaiwa laki 1 mimi nilikua bestest naumwa ndani ivyo biashara zangu zikasimama nikamuomba naomba laki moja nimlipie ada mtoto akaniambia subir mtoto akakaa nyumban, Mungu alivyo wa ajabu baada ya wiki mdogo wake akasimamishwa ajabu akamlipia mdogo wake laki 3 hata siku moja hakuacha kwenda shule wangu hakumlipiaa mpaka nikaenda kukopa.