Mama wa kambo tunasoma comment yako huku tunabinua midomo.Inawezekana umpende mtu halafu mtoto wake usimpende kweli? Mbona mtihani mkubwa sana
Mama wa kambo tunasoma comment yako huku tunabinua midomo.Inawezekana umpende mtu halafu mtoto wake usimpende kweli? Mbona mtihani mkubwa sana
Inawezekana sana.Inawezekana umpende mtu halafu mtoto wake usimpende kweli? Mbona mtihani mkubwa sana
Nadhan ni mambo ya ndani zaidi lkn mama mwenyewe alidai kukaa kwa mkwilima hawezi sio kwangu tu hata kwa dada zangu alikataaKwa nini Mama aende kwa Kaka na sio kwako dah nimeishia hapa kwanza naendelea kusoma
Mie ni muhanga wa kutopendwa na mama wa kambo ila naishi nae kibabe sababu ya mshua tu!Mama wa kambo tunasoma comment yako huku tunabinua midomo.
Ndio mkiwa kwenye mahusiano tayari ndo hapo mada kuoana zinakuja lakini ukikumbuka kuwa ana mtoto stimu zinakata kabisa pia Kuna mwingine hakwambii kuwa ana mtoto Ila mkiwa kwenye mahusiano ndo utagundua kuwa anamtotoKuna sehemu nimeona ulitoa ahadi ya kuoa mkuu.
Mapenzi hayawezi kuwa sawa kama wa kwako siku zote damu huwa nzito kuliko maji.Na baba wa mtoto huyo anawajua sio/ umri sio kigezo Ila uhalisia ndo hivo mwanaume kulea mtoto ambaye sio wake atalea lakini sio kwa mapenzi ya dhati ndo maana nasema huyo mume wa huyo dada sio mnafiki na ampende Ila ukipata mwanaume mnafiki ataonesha kumtunza lakini moyo haupo huko
Huwajui wamama, wanapenda kukaa Kwa watoto wao wa kiume kuliko wa kike, Yani huko Hadi viumane na mkamwana au awe hoi wa kuogesha ndio atataka akakae kwa binti.Kwa nini Mama aende kwa Kaka na sio kwako dah nimeishia hapa kwanza naendelea kusoma
Huyo mwanaume ni mpumbavu wanaume huwa tunaogopa singlemother ambao baba zao wapo hai tu.Naiman kwa uwezo wa Mungu mko wazima
Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama
Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa mume wangu huyu wa sasa pia ninamtoto 1
Mtoto alikua anaishi nyumban kutoka afya ya mama sio nzuri ikalazimika mama kwenda kwa kaka angu ivyo ikabidi nikamchukue mtoto nikae na huyu mume wa sasa hakua na tatizo
Kilichonifanya nije hapa huyu mwenzangu anakipato kizuri tu anasomesha mdogo wake 1
Na watoto wa dada ake ambae hana uwezo wawili 2 wote private
Imagine likizo ikiisha wanakuja nyumbani anaenda anawalipia ada na kuwanunulia mahitaji yote ya shule wa kwangu hata daftari tu hakuna yan hata ile begi la shule
Silamimiki amsomeshe ada hua nalipa mimi lkn kweli unaishi nyumba moja na mtoto anakuita baba hata uniform tu hamna mbaya zaidi uwezo unao unawajali wadogo zako tu yan hua naumia sana
Mwaka jana niliongea nae nikamwambia aache uabaguzi lkn nadhan moyoni hataki tu
Mwaka jana pia ikitoka mtoto wangu alifukuzwa ada alikua anadaiwa laki 1 mimi nilikua bestest naumwa ndani ivyo biashara zangu zikasimama nikamuomba naomba laki moja nimlipie ada mtoto akaniambia subir mtoto akakaa nyumban, Mungu alivyo wa ajabu baada ya wiki mdogo wake akasimamishwa ajabu akamlipia mdogo wake laki 3 hata siku moja hakuacha kwenda shule wangu hakumlipiaa mpaka nikaenda kukopa.
Kwa nini stimu zikate kisa mtoto ambaye kiuhalisia hana hatia, kama wa huyo mleta mada baba keshafariki.Ndio mkiwa kwenye mahusiano tayari ndo hapo mada kuoana zinakuja lakini ukikumbuka kuwa ana mtoto stimu zinakata kabisa
Pole sana kwa yanayokusibu ndugu. Nadhani unapokuwa single mother ukianza mahusiano hakikisha mwanaume ana mpenda mtoto kwanza kabla ya kukupenda wewe.
Ni ngumu kuwapata lakini wapo
Napigilia msumari hii. Hamna mwanaume atampenda mtoto wa mwanaume mwenzie. Wee ukishakuwa single maza amua moja either uwe single mpaka kufa ama kubaliana na drama kama hizi toka kwa mume.Pole sister hii inaumiza ,japo kiuhalisia wanaume wengi Kama sio wote wako hivo hata mm hapa nimewahi date na single mothers Kama watatu Kama sio wanne Na wote nilio date nao nilikuwa nawaahidi nawaoa lakini nikikumbuka kuwa Wana watoto stimu zinakata kabisa yaani afu ukiangalia manzi mzuri Ila shida ni mtoto, yaani kutunza mtoto ambaye sio wako inauma aisee japo hata Kama anahudumia atafanya kinafiki lakini kiuhalisia ni ngumu Sana ,yaani Mara Mia nitunze mdogo wa mke Ila sio mtoto wake aliyezaa na mtu mwingine, ushauri wangu usije kumwambia au kumshirikisha matatizo yoyote yanayohusu mtoto maana utakuwa unamkwaza (maana Kuna dada mmoja naye akawa ananiambia nimpe nauli ili akamchukue mtoto wake daa iliniuma Sana japo sikumwonesha nimeumia na ukizingatia baba wa mtoto yupo )yaani ukiona tatizo lolote linalohusu mwanao Bora umwambie Kaka au ndugu yako wa damu Ila sio mumeo na huo ndo ukweli maana inaweza kuwa sababu ya kuachana
Labda nimekusea kuwasilisha, ila lengo langu ni kuhakikisha KWANZA huyo bwana anampenda mtoto pia.Hiyo haipo hivi kwa akili yako wewe unavyoanda mahusiano na ex wangu , utampenda Kwanza Toto langu nililozaa kwa mauno yangu ndo umpende huyo niliyemzalisha?
Acha kumdanganya mwenzio. Hayo mambo ya kumpenda mtoto kabla ya kumpenda yeye haiwezekani. Knakuoenda wewe na mbususu yako huyo mtoto siwezi mpenda sana sana nitamuhudumia tuu lakini sio kumpendaPole sana kwa yanayokusibu ndugu. Nadhani unapokuwa single mother ukianza mahusiano hakikisha mwanaume ana mpenda mtoto kwanza kabla ya kukupenda wewe.
Ni ngumu kuwapata lakini wapo
Yaa wengi wetu hatuna hio busara unaweza kuwa nayo kwa muda Fulani lakini Kuna muda utajikuta upendo haupo hata ujitahidi vipKwa nini stimu zikate kisa mtoto ambaye kiuhalisia hana hatia, kama wa huyo mleta mada baba keshafariki.
Kwa nini usiwe na mawazo kwamba huyo mtoto naye anahitaji baba kama wengine.
Labla kwa Familia nyingine naona kama haijakaa vyema kama ana watoto wa kike kisha akaugulie kwa Mtoto wa kiumeHuwajui wamama, wanapenda kukaa Kwa watoto wao wa kiume kuliko wa kike, Yani huko Hadi viumane na mkamwana au awe hoi wa kuogesha ndio atataka akakae kwa binti.
Well, tunatofautiana mkuu binafsi napenda watoto awe wangu asiwe wangu.Acha kumdanganya mwenzio. Hayo mambo ya kumpenda mtoto kabla ya kumpenda yeye haiwezekani. Knakuoenda wewe na mbususu yako huyo mtoto siwezi mpenda sana sana nitamuhudumia tuu lakini sio kumpenda
Pole sana, Mungu akutunzie na Mungu hatakuacha endelea kumtegemea Mungu wako huyo ndiye atakuwa best wako, hao watoto wa dada yake wakimaliza shule na kupata kazi wote majeshi yatahamia kwa wazazi wao hatawaona wewe mwache iko siku mtumaini Mungu, wanaume wengi niwabinafsi sana.Naiman kwa uwezo wa Mungu mko wazima
Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama
Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa mume wangu huyu wa sasa pia ninamtoto 1
Mtoto alikua anaishi nyumban kutoka afya ya mama sio nzuri ikalazimika mama kwenda kwa kaka angu ivyo ikabidi nikamchukue mtoto nikae na huyu mume wa sasa hakua na tatizo
Kilichonifanya nije hapa huyu mwenzangu anakipato kizuri tu anasomesha mdogo wake 1
Na watoto wa dada ake ambae hana uwezo wawili 2 wote private
Imagine likizo ikiisha wanakuja nyumbani anaenda anawalipia ada na kuwanunulia mahitaji yote ya shule wa kwangu hata daftari tu hakuna yan hata ile begi la shule
Silamimiki amsomeshe ada hua nalipa mimi lkn kweli unaishi nyumba moja na mtoto anakuita baba hata uniform tu hamna mbaya zaidi uwezo unao unawajali wadogo zako tu yan hua naumia sana
Mwaka jana niliongea nae nikamwambia aache uabaguzi lkn nadhan moyoni hataki tu
Mwaka jana pia ikitoka mtoto wangu alifukuzwa ada alikua anadaiwa laki 1 mimi nilikua bestest naumwa ndani ivyo biashara zangu zikasimama nikamuomba naomba laki moja nimlipie ada mtoto akaniambia subir mtoto akakaa nyumban, Mungu alivyo wa ajabu baada ya wiki mdogo wake akasimamishwa ajabu akamlipia mdogo wake laki 3 hata siku moja hakuacha kwenda shule wangu hakumlipiaa mpaka nikaenda kukopa.
Dah, mbona anapendeka tu mtoto huwa sio ishu kama baba yake anamhudumia fully au wewe uko fully responsible! Huwa inaondosha hizo sintofahamu zote.Inawezekana sana.
Yaani sana tu. Ndio maana ni vizuri kuoana na mtu ambaye bado hana mtoto. Yaani kuna namna tu yule mtoto hautampenda. Tena bora mzazi mwenzake mkeo awe amefariki , akiwa hai ndio kabisaaa.
Ni kweli mkuu upendo ni kitu huja spontaneously mara nyingi, huwezi kulazimisha.Yaa wengi wetu hatuna hio busara unaweza kuwa nayo kwa muda Fulani lakini Kuna muda utajikuta upendo haupo hata ujitahidi vip