Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,369
- 205,759
ha ha h!!...Naona hutaki kuoga shem
Hapana shem mimi nyota yangu ya samaki napatana sana na maji sema tu nilijaribu kuvaa uhusika wa wadau wasiopenda kuoga...
ha ha h!!...Naona hutaki kuoga shem
Hana haya makali makali,pafyum zake nazipendahahaha hazard najua mjuzi wa hizi perfyum
ulikua unanionea huruma eti nisioge niondoke hivyo hivyo ili baridi lisiniteseHahahaaa!! Ushindwe!
Tena kama shule kuwe na baridi kali alafu mbaya zaidi ikiwa shule ya jinsia moja humo mabwenini mbona kutakua kama zizi la mbuziMaisha ya shuleee aiseee umenifanya nicheke kwa saut
Usiombe awe mfanyakazi mwenzio mnashinda wote ofisini,mpaka kufika muda wa kutoka ofisini mpaka sura imebadilikaShoooo yaan huwa inakereketaaa balaaa
Mi mwanaume wangu hawezi kutoka bila kuoga labda kama sipo hapo nyumbaniTuombe radhi, sisi tunawake tunalala nao usiku kucha na kufanza utatuambiaje tunakwenda ofisini bila kuoga. Tutaendaje ofisini na janaba, tafadhali mama!!!
adhi
Ulisema uko single,ni nani huyo anavaaga boxer zako?
tehtehHana haya makali makali,pafyum zake nazipenda
Na wewe uoge kichwani sio unakaa mwezi eti ndo unaenda saloon kuosha kichwa!!!Mi mwanaume wangu hawezi kutoka bila kuoga labda kama sipo hapo nyumbani
ndiyo mkuu,Na wewe uoge kichwani sio unakaa mwezi eti ndo unaenda saloon kuosha kichwa!!!
Zile katani zao zina harufu hizoo!!ndiyo mkuu,
wana vaa katani kichwani
Aaaah sana wao tena wafaa kuogaila sawa, ss wanaume hatuna jasho kali kama wao,,
wao wanapga akapera nyingi mno
Hapana aiseee, utaoga hivyo hivyo na baridi.ulikua unanionea huruma eti nisioge niondoke hivyo hivyo ili baridi lisinitese
ole wako uwe mkali baadaeHapana aiseee, utaoga hivyo hivyo na baridi.