habari zenu wapendwa
mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5 na nina mume wangu wa ndoa zaidi ya miaka sita. ila mume wangu simwelewi kitu kimoja inafika kipindi akaninunia na asikwambie sababu na ukimuuliza nini mbaya unaweeza ukalamba
hata vibao. si mara moja ili swala kujitokeza ndo mana nimeona nilete jamvini. na anakuwa na majibu ya mkato na hasira endapo nitamuuliza kitu. yani nakuwa sina thamani kwake. na naweza nikawa nyumbani na apigi kwa simu yangu anapiga ya dada na anaweza sa nyingine akarudi usiku wa manane na yupo chakali. sasa na jiuliza uu ni ugonjwa ama pepo. akiwa ajaninunia yupp sawa na ni mume mwema. ila haiwezi pita miezi 3 ajaninunia.
je mnahisi ana tatizo gani? mi nampenda sana mume wangu. ila kama binadamu akiwaga na khali hiyo nami uwa naumia mpaka sa nyingine nawaza yasiyo wazika.
habari zenu wapendwa
mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5 na nina mume wangu wa ndoa zaidi ya miaka sita. ila mume wangu simwelewi kitu kimoja inafika kipindi akaninunia na asikwambie sababu na ukimuuliza nini mbaya unaweeza ukalamba
hata vibao. si mara moja ili swala kujitokeza ndo mana nimeona nilete jamvini. na anakuwa na majibu ya mkato na hasira endapo nitamuuliza kitu. yani nakuwa sina thamani kwake. na naweza nikawa nyumbani na apigi kwa simu yangu anapiga ya dada na anaweza sa nyingine akarudi usiku wa manane na yupo chakali. sasa na jiuliza uu ni ugonjwa ama pepo. akiwa ajaninunia yupp sawa na ni mume mwema. ila haiwezi pita miezi 3 ajaninunia.
je mnahisi ana tatizo gani? mi nampenda sana mume wangu. ila kama binadamu akiwaga na khali hiyo nami uwa naumia mpaka sa nyingine nawaza yasiyo wazika.
Yasiyo wazika ni yapi hayo Dada?
Angalia tabia zako na uwezo wako katika kazi;
mahusiano yako na Jamii na aina ya marafiki ulionao;
tabia yako kabla ya ndoa;
sifa na mienendo yako kabla ya ndoa na sasa;
Je una msaada gani kwa mumeo?;
Uwezo wako wa uelewa hasa katika mambo ya kifamilia;
Unachangia nini katika familia yako au wewe kazi yako ni kuangalai TV tu! Kila kazi anafanya House maid?;
Elimu yako ni ya kiwango gani? na je unajiendeleza hata kwa njia ya mitandao na Posta?
Unajua kupika au ndio wale ambao mme ana kisukari lakini hata vyakula vya wagonjwa wa kisukari huvijui na hata hujui kuvipika!?;
Unajua mambo ambayo mmeo anavipenda? Au unajifanyia tu kila jambo bila uweledi wowote?
Yasiyo wazika ni yapi hayo Dada?
Angalia tabia zako na uwezo wako katika kazi;
mahusiano yako na Jamii na aina ya marafiki ulionao;
tabia yako kabla ya ndoa;
sifa na mienendo yako kabla ya ndoa na sasa;
Je una msaada gani kwa mumeo?;
Uwezo wako wa uelewa hasa katika mambo ya kifamilia;
Unachangia nini katika familia yako au wewe kazi yako ni kuangalai TV tu! Kila kazi anafanya House maid?;
Elimu yako ni ya kiwango gani? na je unajiendeleza hata kwa njia ya mitandao na Posta?
Unajua kupika au ndio wale ambao mme ana kisukari lakini hata vyakula vya wagonjwa wa kisukari huvijui na hata hujui kuvipika!?;
Unajua mambo ambayo mmeo anavipenda? Au unajifanyia tu kila jambo bila uweledi wowote?
habari zenu wapendwa
mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5 na nina mume wangu wa ndoa zaidi ya miaka sita. ila mume wangu simwelewi kitu kimoja inafika kipindi akaninunia na asikwambie sababu na ukimuuliza nini mbaya unaweeza ukalamba
hata vibao. si mara moja ili swala kujitokeza ndo mana nimeona nilete jamvini. na anakuwa na majibu ya mkato na hasira endapo nitamuuliza kitu. yani nakuwa sina thamani kwake. na naweza nikawa nyumbani na apigi kwa simu yangu anapiga ya dada na anaweza sa nyingine akarudi usiku wa manane na yupo chakali. sasa na jiuliza uu ni ugonjwa ama pepo. akiwa ajaninunia yupp sawa na ni mume mwema. ila haiwezi pita miezi 3 ajaninunia.
je mnahisi ana tatizo gani? mi nampenda sana mume wangu. ila kama binadamu akiwaga na khali hiyo nami uwa naumia mpaka sa nyingine nawaza yasiyo wazika.
habari zenu wapendwa
mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5 na nina mume wangu wa ndoa zaidi ya miaka sita. ila mume wangu simwelewi kitu kimoja inafika kipindi akaninunia na asikwaJmbie sababu na ukimuuliza nini mbaya unaweeza ukalamba
hata vibao. si mara moja ili swala kujitokeza ndo mana nimeona nilete jamvini. na anakuwa na majibu ya mkato na hasira endapo nitamuuliza kitu. yani nakuwa sina thamani kwake. na naweza nikawa nyumbani na apigi kwa simu yangu anapiga ya dada na anaweza sa nyingine akarudi usiku wa manane na yupo chakali. sasa na jiuliza uu ni ugonjwa ama pepo. akiwa ajaninunia yupp sawa na ni mume mwema. ila haiwezi pita miezi 3 ajaninunia.
je mnahisi ana tatizo gani? mi nampenda sana mume wangu. ila kama binadamu akiwaga na khali hiyo nami uwa naumia mpaka sa nyingine nawaza yasiyo wazika.
huyo mme kwako hakuwa na thamani ya mme. Vyenginevyo usingethubutu kwenda kwa shosti kupayuka huku ukijua honey wako amenuna.akinuna na wewe endelea na shughuli zako kama huoni vile, wanaume dizaini hii hiyo ndo dawa yao. mie alikuwa akinuna napotea siku nzima na-catch up na shughuli zangu za hapa na pale. kama kuna shosti sijamwona siku nyingi naenda kumtembelea tunapuyanga weee! mbona kashika adabu mwenyewe
Maswali ya msing sana haya kwanza ajichunguze yeye anakosea wapi hapo atajua nin chanzo cha tatizo
Atakuwa na ugonjwa wa Sukari huyo au ndo unamnyemelea.