royal tourtz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 255
- 325
Ila wanawake wengine ukweli hamjitambui na ndio maana ndoa mtaziona kwa jirani tu.
Wewe umenipenda mimi kabla ya kunifaham kiundani zaidi.. baada ya kunikubali unagundua kuwa nina udhaifu mdogo wa kurekebisha na kuelekeza. Kwa nini usimuelekeze huyo mtu akawa kama unavyotaka wewe kuliko kuja hapa kupikicha povu kama lote.
Thamani ya mwanamke kwa mwanaume inakuja pale wewe mwanamke ukamkubali mwanaume na ukamuonesha udhaifu wake lakini ukachukua jukumu la kum-badilisha. Akibadilika na watu wa karibu watamwambia, kwa hakika thamani yako itapanda mara dufu na utakuwa wa muhimu kwake sana.
Wewe umenipenda mimi kabla ya kunifaham kiundani zaidi.. baada ya kunikubali unagundua kuwa nina udhaifu mdogo wa kurekebisha na kuelekeza. Kwa nini usimuelekeze huyo mtu akawa kama unavyotaka wewe kuliko kuja hapa kupikicha povu kama lote.
Thamani ya mwanamke kwa mwanaume inakuja pale wewe mwanamke ukamkubali mwanaume na ukamuonesha udhaifu wake lakini ukachukua jukumu la kum-badilisha. Akibadilika na watu wa karibu watamwambia, kwa hakika thamani yako itapanda mara dufu na utakuwa wa muhimu kwake sana.