Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Links to this post
[h=3]Wanaume Nao......[/h]
[h=3]Wanaume Nao......[/h]
Kwa nini wanaume hununua sex?
Mwanaume anaondoka na kwenda kumtafuta mwanamke wa kumlipa fedha ili ampe sex bila kuhusisha upendo au mahusiano wala kuhusisha hisia kati ya wawili.
Suala la wanawake Malaya (prostitutes) kuua mwili kwa wanaume ni suala la dulia zima haijalishi ni mzungu au mweusi au muasia, wasomi na wasio wasomi, maskini na matajiri, waliooa na ambao hawajaoa wote wamekuwa wakijihusisha na hii tabia