Salha
Senior Member
- Jun 21, 2010
- 121
- 2
tena walokole ndo usiseme me sitaki hata kuwasikia...Lol, hata aletwe akiwa na sifa duni kiasi gani, mikate na siagi haiongopi!..baada ya 'siku mbili tatu' huyoo vishavu na makalio yanaanza kuongezeka... atapendeza na kuvutia tu labda aajiriwe 'mlokole!'