hillongajonas
Senior Member
- Oct 13, 2021
- 192
- 428
Sasa hapa ndiyo utapeli ulipoanzia mkuu.Utajua hujuiSijatapeliwa tatizo kaniuzia K kwa bei kubwa sana
Sasa hapa ndiyo utapeli ulipoanzia mkuu.Utajua hujuiSijatapeliwa tatizo kaniuzia K kwa bei kubwa sana
Wanawake dhaifu sana wa akili na ukiona kofia inakutosha ivae naona umeivaa kofia yao.Na wewe ni mmoja wao au mbona panic tena
Hujatapeliwa ila K umepewa kwa bei kubwaHabari wana jamvi
Kwanza naomba samahani kama kuna ambaye nitamkwaza kwa uzi huu
Napenda kusema kwamba wanaume wa Dar na wanawake wa Dar tofauti yenu ni sehemu za siri ila wote mnatabia zinazofanana za kike kike tu, umbea, unafiki, fitina na Majungu
Nilipata safari ya kwenda Dar kwa ajili ya mambo yangu binafsi kufika nikakutana na mdada mzuri sana kwenye kibanda cha huduma ya Electronic
Na ndio maana mnageuzana wanawake nyie wanaume wa dar mnakulana maviWasukuma mafala sana
Yaani utoke huko Chato unanuka mbuzi uje oa kirahisi rahisi Dar. Hata hiyo kujiliza ni uingie tena mkenge mjinga Wewe. Kaoe huko Bariadi au Kwimba Dar ni five star.
Watu wa Dar mbona mnapambana sana lakini maisha mazuri hamuyapati?...nimekaa miezi sita tu Tabora nilimiliki kila nilichokuwa nakitamani
Hiyo ndo dawa yaoKuna mmoja nimeshamuahidi pesa ya kusuka mwezi umeisha sasa. Na hachoki kupiga izo masimu na ma sms ya kushato.
Na atangoja sana
Katika kipindi chote mkoo pamoja umeshawahi kula mzigo ?????Habari wana jamvi
Kwanza naomba samahani kama kuna ambaye nitamkwaza kwa uzi huu
Napenda kusema kwamba wanaume wa Dar na wanawake wa Dar tofauti yenu ni sehemu za siri ila wote mnatabia zinazofanana za kike kike tu, umbea, unafiki, fitina na Majungu
Nilipata safari ya kwenda Dar kwa ajili ya mambo yangu binafsi kufika nikakutana na mdada mzuri sana kwenye kibanda cha huduma ya Electronic money transfer na nikatokea kumpenda sana basi ikawa kila nikienda Dar tunakutana uvumilivu ulipo nishinda ikabidi nifunguke nikamwambia akakubali sasa sijui aliniona mimi wa kuja.
Basi kwa kuwa lengo langu ilikuwa kuoa kwa wakati huo nikaona mke si ndio huyu mtafutaji anajituma kumbe mhh
Nikampigia simu nikamuomba aje nyumbani kwetu akakubali akasema yupo tayari hata sasa aje basi nikajipanga nikamtumia nauli ilipoingia tu akasema baba yake anataka aongee na mimi nikajitutumua nikaongea nae akasema huyo ni mwanae na hawezi kumruhusu kijinga jinga aje tu huku.
Basi baada ya kusema ivyo huyo binti akaanza kujiliza kinafiki mara ohh nimeumia sana sijapenda basi baada ya hapo ikabidi nijipange nikienda tena Dar nifike kwao kwanza
Basi nikapata safari kumwambia huyo binti akasema baba yake kasafiri kaenda Burundi basi ikabidi nisubiri ila binti akawa anazidi kupiga mizinga ya hapa na pale Mungu wa ajabu nilikuwa namkwepa sana namwambia subiri kwanza nije kwenu
Kumwambia maswala ya hela asubiri kwanza akanuna mara akasema simu yake mbovu anataka anunie nyingine nimuongezee hela nikamwambia sina Dah kweli Mungu alikuwa na makusudi yake
Baadae akakaa kimya kama miezi mitatu nikawa hata nikienda dar pale alipokuwa anafanya kazi nikakuta pamefungwa mawasiliano yakawa ya tabu sana ukimpigia simu hapokei na anataka kuchat tu
Sasa baadae ikawaje siku moja nipo kwenye biashara zangu nikapokea ujumbe umeandikwa hivi "NIMEOLEWA SITAKI TENA USUMBUFU KUTOKA KWAKO"
nikajua labda utani kumtafuta akasema ndio nimeamua hivyo maana umeshindwa kunihudumia Dah wakati nikiwa safarini kwenda dar nimemtoa sana lunch mizawadi kama yote nguo vyakula gesi umeme bili za maji kodi ya nyumba nimelipa sana hadi pale alipokuwa anafanya kazi walikuwa wanajua mm ndio mume wake
Baada kama ya wiki 2 hivi akanitumia ujumbe anasema "pale alipokuwa anafanya kazi amepokonywa vitendea kazi na amefukuzwa alipokuwa anakaa na huyo mume wake na anamtoto mdogo yupo kwa rafiki yake kwa sasa"
Ikabidi nimpigie simu nimuulize vizuri na yule niliyekuwa naongea nae kama baba mwenye nyumba wako kama baba yako mkaka uliyekopa vijora na aliyekuwa anabadilisha mitungi ya gesi ni akina nani wakati umeolewa na una mume na mtoto
akajibu "WALE NI WAKAKA TU NAFAHAMIANA NAO HATA HAIKUWA KWELI" huku analia anaomba msamaha nimtafutie hata kazi awe anafanya maana hana pa kwenda na mtoto huku kwa mbali nasikia mtoto analia
Basi nikamwambia ulichagua kilicho bora kwako we endelea tu
Kwanini lawama nazitupa kwa wanaume wa Dar sasa
*Haiwezekani unajua wewe sio baba wa mtoto halafu unapiga dili mwanaume mwenzio aliwe hela na mwanamke kama sio ukike ni unini huo
*Unajua wewe sio baba mwenye nyumba halafu unatishia kutoa vyombo nje kumbe unataka mwanaume mwenzio apigwe pesa na mwanamke kama sio umama ni unini huo
*Wewe boda boda ambaye unapaki hapo karibu na kazini kwake ulikuwa unatupeleka viwanja tunaenda kula bata na ulikuwa unajua kama mwanaume mwenzio naenda kuliwa hela kama sio udada ni nini
Kuna haja ya kubadilika nyie wanaume wa Dar dunia ni ndogo sana mlikuwa mnafurahi kuona naenda kuliwa hela zangu ila poa tu ipo siku
NB:
Sijatapeliwa tatizo kaniuzia K kwa bei kubwa sana
Huyo demu nimepiga kama mara 2 ila sijawahi kuona kama anamimba sijui kwanini au alikuwa ananidanganya ili anipige pakubwa zaidi bado sijajua
Ila wanaume wa Dar mmenikera sana japo kuwa sio wote ila nyie mliohusiki kwa namna moja au nyingine
Kwani alikufosi? Kama hajakufosi,wakati unatoa mpaka kufikia hiyo bei unayoiita kubwa,hukujua unachokifanya? Kuna malaya, wanaouza mbunye zao. Je,wanaonunua wao sasa si ndo mazoba?Sijatapeliwa tatizo kaniuzia K kwa bei kubwa sana