Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,699
- 9,778
Hii dunia inazidi kusikitisha sana!
Kabla sijazungumzia kilichonifanya kuandaa huu uzi naomba niseme kuwa huyu mwanamama kila siku asubuhi huwa anaamka na hasira kali kupita kiasi, utasikia Paaa! Pmbv, yaani watoto wake wanaambulia kipigo cha mbwa koko, tena wa kuwazaa, mchovu sana! Kwa sisi wataalamu wa papuchi twaweza sema hakuna mume hapo japokuwa ana mume! Anahitaji kusaidiwa! Sema mwanamke mwenyewe anapenda ndoa yake ila hampendi mumewe (nahisi)
Twende kwenye mada! Wana watoto wawili, wa kiume na wakike, wamezidiana kama miaka minne! Wote wanafanana, ila hawafanani na baba wala na mama! Rangi zao za kipekee, ni Whitish brown, ila baba mweusi na mama ni mweupe!
Katika zunguka zunguka yangu siku ya juzi nikakutana na mwanababa anafanania wale watoto, kuanzia sura hadi rangi, na unene! Sanasana mtoto wa kiume! Nikajua kama duniani si wawili wawili, basi ni watatu watatu! Nikaamua kufuata kilichonipeleka pale!
Leo saa moja asubuhi nikaenda kuusikilizia mchongo nilio plan jana, ndipo kumkuta yule mke anataniana na yule jamaa copy ya watoto japo kwa mbali mbali! huku rafiki zake na yule jamaa wakitia utani ndani yake!
Dakika chache baadae, yule mwanamama akavuta kitu kama pesa kwenye pochi akamkabidhi, nilikuwa kwa mbali kidogo, nahisi ni pesa, maake mwanaume hawezi pewa hereni! Kisha akaanza kusisitiza jambo ilhali mwanaume yule akawa anamkatalia huku akiwa kaikunja sura yake akiambatana na ishara za kurusha rusha mikono!
Nikaamua kupita njia nyingine kuepusha shari!
Ila kuna mtu tayari kashaliwa za kichwa!
Kabla sijazungumzia kilichonifanya kuandaa huu uzi naomba niseme kuwa huyu mwanamama kila siku asubuhi huwa anaamka na hasira kali kupita kiasi, utasikia Paaa! Pmbv, yaani watoto wake wanaambulia kipigo cha mbwa koko, tena wa kuwazaa, mchovu sana! Kwa sisi wataalamu wa papuchi twaweza sema hakuna mume hapo japokuwa ana mume! Anahitaji kusaidiwa! Sema mwanamke mwenyewe anapenda ndoa yake ila hampendi mumewe (nahisi)
Twende kwenye mada! Wana watoto wawili, wa kiume na wakike, wamezidiana kama miaka minne! Wote wanafanana, ila hawafanani na baba wala na mama! Rangi zao za kipekee, ni Whitish brown, ila baba mweusi na mama ni mweupe!
Katika zunguka zunguka yangu siku ya juzi nikakutana na mwanababa anafanania wale watoto, kuanzia sura hadi rangi, na unene! Sanasana mtoto wa kiume! Nikajua kama duniani si wawili wawili, basi ni watatu watatu! Nikaamua kufuata kilichonipeleka pale!
Leo saa moja asubuhi nikaenda kuusikilizia mchongo nilio plan jana, ndipo kumkuta yule mke anataniana na yule jamaa copy ya watoto japo kwa mbali mbali! huku rafiki zake na yule jamaa wakitia utani ndani yake!
Dakika chache baadae, yule mwanamama akavuta kitu kama pesa kwenye pochi akamkabidhi, nilikuwa kwa mbali kidogo, nahisi ni pesa, maake mwanaume hawezi pewa hereni! Kisha akaanza kusisitiza jambo ilhali mwanaume yule akawa anamkatalia huku akiwa kaikunja sura yake akiambatana na ishara za kurusha rusha mikono!
Nikaamua kupita njia nyingine kuepusha shari!
Ila kuna mtu tayari kashaliwa za kichwa!