The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Bila shaka wewe ni wale wanawake 50/50, kitaeleweka, ngangari ngangari, haki sawa. Ungekua mwanamke mwenye maadili ya Kiafrika wala hilo lisingekupa tabu.Habari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta nilishika simu yake ndogo, nikakuta sms anamwambia mwanamke amemiss mapenzi anayompa, anajuta kwanini hakumjua mapema, anampenda sana na mambo kama hayo, toka majuzi mpaka muda huu sijamwambia ila yeye amashaanza kujistukia yaan amekuwa mpole ghafla anajikanyaga kanyaga tu.
Nimekuja humu najua kuna wake na waume za watu ma-legend ambao wameshapitia hii adha mnipe ushauri what to do maana nimechanganyikiwa nikikumbuka hizo sms kichwa kinapata moto.
Nawaza hata nimuache asee maana upendo wenyewe hakuna tena.
Yani eti unawaza umuache tehee hee wewe ndio ulimuoa ?! Aise hongereni mnaowaweza hawa wanawake wa 50/50, haki sawa blah blah blah