Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 492
- 859
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.