Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Record Man

JF-Expert Member
May 25, 2023
492
859
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.

Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.

Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.

Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
 
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.

Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.

Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.

Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
 
Sasa hivi ndio unaona kuna umuhimu wa mtoto kupata malezi ya baba? usimharibie binti wa watu ndoa yake, kwani ameshakuambia anahitaji msaada wa Baba katika kumlea mtoto? ulikuwa wapi siku zote mpaka anaolewa na usimuoe wewe mwenye mtoto?
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwrnzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwrnzangunya moja kwa moja
Good.
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwrnzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwrnzangunya moja kwa moja
Excellent
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwrnzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwrnzangunya moja kwa moja


Big up sana Mkuu, hi ni Best technique kulinda NDOA Yako na ya mzazi mwenzako
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwrnzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwrnzangunya moja kwa moja
Njia mnayotumia inaweza kuwa nzuri lakini ni mbaya pia. Uzuri ni kuwa unalinda ndoa ya mzazi mwenzio na unamuongezea confidence na ubaya ni kuwa huenda mwanao anaweza asipate mahitaji unayompatia ikitegemea uwezo wa mume mwenzio. Pia kwa kuwa mawasiliano na mzazi mwenzio hayapo unawezajikuta unalipia bill za bia kupitia mtoto.

Mahitaji yote anayopatiwa mtoto lazima mama na mtoto wayajue kama ana umri wa kutosha. Na Ikiwezekana mama ampe simu mtoto ndio aseme mahitaji yake na yakikamilishwa aone. Vinginevyo unaweza kuwa unatunza mtoto sifa zinaenda kwao wewe unasagiwa kukunguni huna msaada wowote. Utabaki unashangaa mtoto amekuza chuki kwako hata huelewi sababu.

Kama yuko shule na una uwezo chukua peleka hata boarding huko likizo akae kwa mama yake wiki mbili aje kwako wiki mbili na upate nafasi ya kumtembelea shule.
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwrnzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwrnzangunya moja kwa moja
Hii ni njia sahihi kabisa.
 
Njia mnayotumia inaweza kuwa nzuri lakini ni mbaya pia. Uzuri ni kuwa unalinda ndoa ya mzazi mwenzio na unamuongezea confidence na ubaya ni kuwa huenda mwanao anaweza asipate mahitaji unayompatia ikitegemea uwezo wa mume mwenzio. Pia kwa kuwa mawasiliano na mzazi mwenzio hayapo unawezajikuta unalipia bill za bia kupitia mtoto.

Mahitaji yote anayopatiwa mtoto lazima mama na mtoto wayajue kama ana umri wa kutosha. Na Ikiwezekana mama ampe simu mtoto ndio aseme mahitaji yake na yakikamilishwa aone. Vinginevyo unaweza kuwa unatunza mtoto sifa zinaenda kwao wewe unasagiwa kukunguni huna msaada wowote. Utabaki unashangaa mtoto amekuza chuki kwako hata huelewi sababu.

Kama yuko shule na una uwezo chukua peleka hata boarding huko likizo akae kwa mama yake wiki mbili aje kwako wiki mbili na upate nafasi ya kumtembelea shule.
kuepusha hayo yote oa uliyempa mimba, kama huna mpango naye acha mawazo ya kuzaa naye
 
Kusiwe na mawasiliano ya moja kwa moja kati ya mzazi na mzazi, tafuteni platform nzuri ya kuwasilisha mahitaji ya mtoto, ila sio kupigiana simu kila mara.

Binafsi kulelewa mtoto na ME wenzangu naona ni kosa kubwa sana mwanaume unaweza kufanya.

Poleni mnaopitia njia hiyo!!
 
Sio kidogo, anataka kuharibu ndoa ya binti wa watu wakati hakumuona wa maana alipompa ujauzito, vijana wasiowajibika kwenye makosa yao ni waharibifu sana


Sasa Mkuu tutafanyaje Ndio jamii ilivyo kwa sasa kwasababu ya upungufu wa adili 👉 watu hawana Maono Kwaiyo Hawezi kabisa kujizuia i.e hawana KIASI katika kutenda maisha
 
Sasa Mkuu tutafanyaje Ndio jamii ilivyo kwa sasa kwasababu ya upungufu wa adili 👉 watu hawana Maono Kwaiyo Hawezi kabisa kujizuia i.e hawana KIASI katika kutenda maisha
Basi wawajibike kwa makosa yao, ukishajua umemtelekeza mtoto wa watu kwa ahadi feki, ukae kwa kutulia, kuliko mtoto wa watu amepata tulizo la moyo uanze tena kumsumbua kisa mtoto ambaye ulimkataa
 
Njia mnayotumia inaweza kuwa nzuri lakini ni mbaya pia. Uzuri ni kuwa unalinda ndoa ya mzazi mwenzio na unamuongezea confidence na ubaya ni kuwa huenda mwanao anaweza asipate mahitaji unayompatia ikitegemea uwezo wa mume mwenzio. Pia kwa kuwa mawasiliano na mzazi mwenzio hayapo unawezajikuta unalipia bill za bia kupitia mtoto.

Mahitaji yote anayopatiwa mtoto lazima mama na mtoto wayajue kama ana umri wa kutosha. Na Ikiwezekana mama ampe simu mtoto ndio aseme mahitaji yake na yakikamilishwa aone. Vinginevyo unaweza kuwa unatunza mtoto sifa zinaenda kwao wewe unasagiwa kukunguni huna msaada wowote. Utabaki unashangaa mtoto amekuza chuki kwako hata huelewi sababu.

Kama yuko shule na una uwezo chukua peleka hata boarding huko likizo akae kwa mama yake wiki mbili aje kwako wiki mbili na upate nafasi ya kumtembelea shule.
Hayo yote uliyosema yanawezekana,ila mimi nipo makini sana na singeweza kuyasema yote niyafanyayo,kaa ukijua namsimamia mtoto vizuri sana,na tuna kutana naye na shuleni pia huwa naenda na huyu mume wa mzazi mwenzangu ni mtu mwema sana,na huwa wananitembelea nyumbani kwangu wakiwa na mkewe mara kwa mara
 
Back
Top Bottom