Mimi Kama mjumbe nakubaliana na hoja👍👍Habari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.
Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?
Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na iwe inaongezeka
Zikiwekwa maiti mbili hapa,moja ina ini zima kabisaaa na nyingine ini limeharibika ile mbaya ..WHAT IS THE DIFFERENCE!? Mwenye ini zima, ini lake lina faida gani!?Kunywa tu ili uendelee "kujenga" ini lako.
Hapana sio wote kwa vyote..nakataaMlevi anachoweza ni kukununulia pombe tu ukimwambia una njaa hawezi kukunnulia chakula, walevi wengi wakiskia mwenzao ameacha pombe wanamchukia na kuanza kumsengenya huku wakimuombea mabaya wanamuonea wivu kwakua mwenzao katoka kwenye utumwa.
Walevi wengi wanaongoza kwq kupenda kukopa na kukimbia kulipa, walevi walio fanikiwa wanaongoza kuwanywesha pombe walevi wasio na ramani lakin hawapo radhi kuwakopesha hat hela ya mtaji.
Duh kama unakunywa baada ya kufanikisha deal mara moja kwa mwezi ...kazi sana manake mi nafanikisha karibu kila siku nayofanya biashara sa hapo ndio inakuwaje jombi? ...ndio maana nalewa karibu dailyNakubaliana na wewe ila wengi ambao wapo kwenye kundi hili ni wale wanaotolewa ofa acha nijisemee Mimi I only drink at special deiz and event like after accomplish some deals so hii hua ni kwa mwezi mara 1 au hata mara 1 baada ya miez mitatu ili niende sawa na vibe ya watu ntakaokua nao na sijawahi kuona tukimkera mtu me and my fam we just doing gud and mind our own biznec after few whiskey ila wale wanaolewa kwa ofa ndo hua Wanamaliza uchu wao wote siku hiyo hyo mwishowe kudhalilika
Halafu Mungu alivyofundi...yaani walio wengi wenye matatuizo ya ini ,figo siyo waleviZikiwekwa maiti mbili hapa,moja ina ini zima kabisaaa na nyingine ini limeharibika ile mbaya ..WHAT IS THE DIFFERENCE!? Mwenye ini zima, ini lake lina faida gani!?
Kumbe wanywa soda/juice/maji wana afya sana na ni matajiriPombe haina faida yeyote sijawai ona mwisho wa mlevi ukiwa mzuri
Mwisho wake ni maradhi
Na umasikini
Nipe andiko lililosema kunywa beer ni dhambiUnajisifia dhambi???? Hivyi unajua kwamba kuna maisha baada ya haya, huo ulevi wewe furahia lakini jua kwamba mda na wakati usioutegemea utajikuta mbele za Mungu!! Moto wa jehannum upo kuwasubiri walevi, Yesu anaokoa ukija Kwake atakuokuoa!! Na hicho kiu cha pombe kitaondoka
😂😂 Mkuu you made ma day kuna zile dili special kwa upande wangu like 10k dollars na Kuendelea ndo huwa siziachagi hivihivi lazima Chivas Regal ihusike ila si unatmia pesa ako kula mchupa mkuu live to the foolestDuh kama unakunywa baada ya kufanikisha deal mara moja kwa mwezi ...kazi sana manake mi nafanikisha karibu kila siku nayofanya biashara sa hapo ndio inakuwaje jombi? ...ndio maana nalewa karibu daily
Wanywa soda hatuwaingilii ila wao Wanapenda kweli kutusema vibaya utasikia ana matumizi makubwa kwa vitu vya upuuzi na kujitafutia magonjwaHala
Halafu Mungu alivyofundi...yaani walio wengi wenye matatuizo ya ini ,figo siyo walevi
Zikiwekwa maiti mbili hapa,moja ina ini zima kabisaaa na nyingine ini limeharibika ile mbaya ..WHAT IS THE DIFFERENCE!? Mwenye ini zima, ini lake lina faida gani!?
Kunywa mikojo ya filauni unajiona mjaanja mtoto wa kimakonde kunywa hayo mataptap sio deal sie wanywa soda starehe yetu unaijua hatuna kokolo ni kuibuka na pisi kali tu hapa town mataptap yakae na mbali hukoo na siku-3-ukivunjiwa yai utwambie mazeeHabari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.
Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?
Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.
Hakuna mtz wa kawaida anayekunywa pombe za lki 1 kwa siku labda kama zinauzwa kwa dola na yenyewe ni yale mawisky makubwa limoja tu mtu anakunywa wiki, hawa unaongea nao hapa pombe zao ni za sh 10,000 kwa siku.Kunywa pombe sio utajiri na kutokunywa sio umasikini.
Mimi sinywi pombe ila nina uhakika 100% kwamba nakuzidi kila kitu, elimu, exposure, uwezo wa kifedha, nafasi, mali, akili na kila kitu.
So kunywa vibia vyako 2 vya mawazo haikufanyi uwe na hela kuliko ambae hanywi.
Wewe ukinyaa bia nyingi sana kwa siku haizidi 100k ambayo ni average ya 3m kwa mwezi.
Mimi naependa wanawake na sinywi pombe bajeti yangu ya wanawake kwa mwezi iko juu kuliko bajeti yako ya pombe.