Wanaume msiokunywa pombe acheni majungu. Tunaokunywa tunawazidi kila kitu kuanzia pesa hadi maisha; njaa zenu zisiwape viburi, hamna chochote

Habari za mda huu,

Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.

Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?

Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Kama mjumbe nakubaliana na hoja👍👍
 
Mlevi anachoweza ni kukununulia pombe tu ukimwambia una njaa hawezi kukunnulia chakula, walevi wengi wakiskia mwenzao ameacha pombe wanamchukia na kuanza kumsengenya huku wakimuombea mabaya wanamuonea wivu kwakua mwenzao katoka kwenye utumwa.

Walevi wengi wanaongoza kwq kupenda kukopa na kukimbia kulipa, walevi walio fanikiwa wanaongoza kuwanywesha pombe walevi wasio na ramani lakin hawapo radhi kuwakopesha hat hela ya mtaji.
Hapana sio wote kwa vyote..nakataa
 
Nakubaliana na wewe ila wengi ambao wapo kwenye kundi hili ni wale wanaotolewa ofa acha nijisemee Mimi I only drink at special deiz and event like after accomplish some deals so hii hua ni kwa mwezi mara 1 au hata mara 1 baada ya miez mitatu ili niende sawa na vibe ya watu ntakaokua nao na sijawahi kuona tukimkera mtu me and my fam we just doing gud and mind our own biznec after few whiskey ila wale wanaolewa kwa ofa ndo hua Wanamaliza uchu wao wote siku hiyo hyo mwishowe kudhalilika
Duh kama unakunywa baada ya kufanikisha deal mara moja kwa mwezi ...kazi sana manake mi nafanikisha karibu kila siku nayofanya biashara sa hapo ndio inakuwaje jombi? ...ndio maana nalewa karibu daily
 
Duh kama unakunywa baada ya kufanikisha deal mara moja kwa mwezi ...kazi sana manake mi nafanikisha karibu kila siku nayofanya biashara sa hapo ndio inakuwaje jombi? ...ndio maana nalewa karibu daily
😂😂 Mkuu you made ma day kuna zile dili special kwa upande wangu like 10k dollars na Kuendelea ndo huwa siziachagi hivihivi lazima Chivas Regal ihusike ila si unatmia pesa ako kula mchupa mkuu live to the foolest
 
Kuna kipind nlithamiria kuacha Monde, baba angu mdogo akaniambia "we msenge unataka kua shoga eeeh..." Kwa ile lafudhi ya kimang Sasa! Ha ha ha
 
Maana ya kujenga inaijua? Kunywa ujenge ini lako liwe na mafuta (fatty liver). Check on Google.
Zikiwekwa maiti mbili hapa,moja ina ini zima kabisaaa na nyingine ini limeharibika ile mbaya ..WHAT IS THE DIFFERENCE!? Mwenye ini zima, ini lake lina faida gani!?
 
Tena wote wasiokunywa wanakuzidi kwa hela ndefu. Kasoro huyo tu jirani yako unaemuonea wivu unaemsema hapa. Ni wastaarabu na wana nyumba na wana usafiri pia. Wewe endelea kupiga yowe hapa,kule wanazaa na demu wako,huku wewe uko njwii
 
Walevi wengi huwa wanaamin wana hela pale wanaopenda bar na kukuta parking zimejaa magari wakat wao wameenda kwa miguu Sasa si uwendawazimu huo
Sasa wanaokokokta ndiga na hawanywi pombe wanawapimia wap maendeleo? Kama maendeleo yao wanayapima kwenye parking za bar? Ndo maana tunasema pombe mbaya haya ni madhara ya ulevi.
 
Habari za mda huu,

Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.

Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?

Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.
Kunywa mikojo ya filauni unajiona mjaanja mtoto wa kimakonde kunywa hayo mataptap sio deal sie wanywa soda starehe yetu unaijua hatuna kokolo ni kuibuka na pisi kali tu hapa town mataptap yakae na mbali hukoo na siku-3-ukivunjiwa yai utwambie mazee
 
Kunywa pombe sio utajiri na kutokunywa sio umasikini.

Mimi sinywi pombe ila nina uhakika 100% kwamba nakuzidi kila kitu, elimu, exposure, uwezo wa kifedha, nafasi, mali, akili na kila kitu.

So kunywa vibia vyako 2 vya mawazo haikufanyi uwe na hela kuliko ambae hanywi.

Wewe ukinyaa bia nyingi sana kwa siku haizidi 100k ambayo ni average ya 3m kwa mwezi.

Mimi naependa wanawake na sinywi pombe bajeti yangu ya wanawake kwa mwezi iko juu kuliko bajeti yako ya pombe.
Hakuna mtz wa kawaida anayekunywa pombe za lki 1 kwa siku labda kama zinauzwa kwa dola na yenyewe ni yale mawisky makubwa limoja tu mtu anakunywa wiki, hawa unaongea nao hapa pombe zao ni za sh 10,000 kwa siku.
 
Back
Top Bottom