Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,743
- 3,013
Habar ya Zenu
Natumaini mu wazima wa afya
Baadhi yenu mmekuwa mkilalamika sana kwamba wanawake wanapenda hela zenu (kuhongwa) ukweli ni kwamba hakuna binaadam asiyependa pesa hata ikikutokea we mwanaume umepew pesa na dem wako unafurahi kinyamaa
lakin mjue kututofautisha sasa,wapo wanawake wa kila aina hivyhvy ktk swala la pesa, sio wote wanakuomba pesa bac lengo lake ni kukuchuna NO!mwingine utakuta kweli anashida
Kuna baadhi yenu naona sasa hiyo tabia wanataka kuihamishia hadi kwa ndugu zao na wazazi wao
Jamani hapana sio vema kabisa kuwabahilia ndugu zako tena hususan WAZAZI wako khaaaa..!
Utakuta mtu anategemew na ndugu yake wa kike lakin anagoma kumpapesa ya matumizi kwa kuhc kwamba mdogo wako anakuchuna mmmh hayaaaaaa na hao wazazi wako pia wanakuchuna?
Hebu wajalini wazazi kwani Mwenyez Mungu Ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa heshima. Na tuwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama walivyonilea utotoni
Wanawake wenzangu tujitahid saaana kuwakumbusha hawa viumbe katika hili ni wasahaulifu kupindukia
Natumaini mu wazima wa afya
Baadhi yenu mmekuwa mkilalamika sana kwamba wanawake wanapenda hela zenu (kuhongwa) ukweli ni kwamba hakuna binaadam asiyependa pesa hata ikikutokea we mwanaume umepew pesa na dem wako unafurahi kinyamaa
lakin mjue kututofautisha sasa,wapo wanawake wa kila aina hivyhvy ktk swala la pesa, sio wote wanakuomba pesa bac lengo lake ni kukuchuna NO!mwingine utakuta kweli anashida
Kuna baadhi yenu naona sasa hiyo tabia wanataka kuihamishia hadi kwa ndugu zao na wazazi wao
Jamani hapana sio vema kabisa kuwabahilia ndugu zako tena hususan WAZAZI wako khaaaa..!
Utakuta mtu anategemew na ndugu yake wa kike lakin anagoma kumpapesa ya matumizi kwa kuhc kwamba mdogo wako anakuchuna mmmh hayaaaaaa na hao wazazi wako pia wanakuchuna?
Hebu wajalini wazazi kwani Mwenyez Mungu Ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa heshima. Na tuwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama walivyonilea utotoni
Wanawake wenzangu tujitahid saaana kuwakumbusha hawa viumbe katika hili ni wasahaulifu kupindukia