ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Ukiwa mwanafunzi kweli unaweza ukapigana shuleni ukahisi umeonewa ukatoa machozi. Lakini kwa mtu mzima aisee nimeshindwa kutoa chozi labda nilie msibani ila hata Kama nyumba yangu au duka lije kuungua moto never siwezi kulia kamwe.
Hata Kama nifungwe bila hatia siwezi kulia. Labda nyie mniambie ni Jambo gani linaweza kumfanya mtu mzima akaumia mpaka akatoa machozi au ni mapenzi yamekufanyaje mpaka ulie kusalitiwa tu au ni nyimbo za kuabudu zikuguse ndo ulie?
Hata Kama nifungwe bila hatia siwezi kulia. Labda nyie mniambie ni Jambo gani linaweza kumfanya mtu mzima akaumia mpaka akatoa machozi au ni mapenzi yamekufanyaje mpaka ulie kusalitiwa tu au ni nyimbo za kuabudu zikuguse ndo ulie?