Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
mi niemjaribu mpaka kwenda hospital kujua hii hali jamani
utakuta mtu kamwoa mkewe kaenda kutoa mahari mwenyewe
akapewa tunda la roho mwenyewe,wakafurahia wenyewe
baya na wengine wakatotoa watoto wao wenyewe
jamani iweje leo hii mkeo ukiwa nae barabarani unamfanya kama yaya
hata wengine ma yaya tunawatoa aout na wake zetu jumapili
sasa hili swala mi nimeona tuliangalie vyema,tuwapende kuwaheshimu wake
zetu...huyo ndio wako kama ulichagua ukaoa ukahisi unaweza rudia too late
mpe heshima zake...inauma unapokutana na mtu alafu unamuuliza mama ajambo aaah yuko uko nyuma
linhgine kwenda maharausini shugulini...jamani tuwakumbuke awa ndio mama zetu jamani hata kama umekutana na nyoka wako...mpe asali akupende
wendeni nao shugulini jamani...na nyie wamama mwache biasahara ya kukaa home kama ma yaya...mumeo anatoka ati naenda sherehe ya kikazi nyoo chomoka nae aamue anaenda aaendi.,..huu utapeli wa kiini macho msiukubali
funga kibwebwe,...
utakuta mtu kamwoa mkewe kaenda kutoa mahari mwenyewe
akapewa tunda la roho mwenyewe,wakafurahia wenyewe
baya na wengine wakatotoa watoto wao wenyewe
jamani iweje leo hii mkeo ukiwa nae barabarani unamfanya kama yaya
hata wengine ma yaya tunawatoa aout na wake zetu jumapili
sasa hili swala mi nimeona tuliangalie vyema,tuwapende kuwaheshimu wake
zetu...huyo ndio wako kama ulichagua ukaoa ukahisi unaweza rudia too late
mpe heshima zake...inauma unapokutana na mtu alafu unamuuliza mama ajambo aaah yuko uko nyuma
linhgine kwenda maharausini shugulini...jamani tuwakumbuke awa ndio mama zetu jamani hata kama umekutana na nyoka wako...mpe asali akupende
wendeni nao shugulini jamani...na nyie wamama mwache biasahara ya kukaa home kama ma yaya...mumeo anatoka ati naenda sherehe ya kikazi nyoo chomoka nae aamue anaenda aaendi.,..huu utapeli wa kiini macho msiukubali
funga kibwebwe,...