Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
ADAMU alipo ulizwa na MUNGU je ulikula tunda nililo kuagiza usilile. Adamu akajibu si huyu mwanamke uliye nipa ndiye aliye nipa.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.
Mtoto akifeli shule utasikia umechukua akili za mama yako. Kumbe hata wewe mwenyewe ulifaulu kwa madesa ya rafiki zako.
Kubariki kuwa hata nyinyi si watimilifu.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.
Mtoto akifeli shule utasikia umechukua akili za mama yako. Kumbe hata wewe mwenyewe ulifaulu kwa madesa ya rafiki zako.
Kubariki kuwa hata nyinyi si watimilifu.