Oshey Baddest anatumia mafilter kama yote,akipigwa picha na tecno wereva ana ndevu za kutosha kifuani.Ptuu Mungu atunusuru vizazi vyetu jamani.
Eti buanNashangaa watu wa namna hii,wana ndugu,wazazi n.k lakini wanaachwa hadi wanakuwa hivi,tatizo nini?