Nimehangaika siku nyingi sana kutafuta dada wa kazi ambae atanisaidia shughuli za nyumbani ambazo sinaga mda wa kuzifanya ikiwemo kupika na kufua na pasi pia kutokana na shughuli kuwa nyingi.
Nafurahi tangu nipate imekua siku kama tatu hivi nakula kwa muda na naondoka mapema maana nakuta maji ya moto tayari baada ya kutoka mazoezi asubuhi na nguo zimenyooshwa kimsingi nimefurahi.
(For just having a laugh)
Aka kadada jamani kanakula kuku, nakumbuka siku ya kwanza nimekuja na kuku mzima nikamwambia atengeneze kwa ajili ya kula yeye mchana na usiku, hee! Nakuja usiku anasema alikula asubuhi na mchana kaacha mchuzi tu, nikasema sio inshu, nikamuelekeza huwa tunafanya budget.
Nikaletewa keki na jamaa yangu baada ya birthday yake kusupriziwa na manzi yake na keki ndio ugonjwa wangu jana hio, nikasema siigusi hii nije kujinafasi na icing sugars zangu usiku baada ya mihangaiko nakuja nakula kalamba hadi icing sugars nauliza anasema anapenda keki alijua ndio nimembakizia yeye.
Leo asubuhi nimemwachia hela ya nyama kilo na ndizi nakuja nakuta imebakizwa nusu sahani, sasa najiuliza wanawake ndio wanakula kiasi hiki anakomoa au ni vipi, kumtunza mtu kama huyu ni vigumu sana.
Alafu swali kwa wanaume wenzangu, hivi mnajizuiaje kumuacha msichana wa kazi bila kutembea nae maana kadri siku zinavyozidi kwenda naona anazidi kuwa mzuri tu. (For just having a laugh)
Nafurahi tangu nipate imekua siku kama tatu hivi nakula kwa muda na naondoka mapema maana nakuta maji ya moto tayari baada ya kutoka mazoezi asubuhi na nguo zimenyooshwa kimsingi nimefurahi.
(For just having a laugh)
Aka kadada jamani kanakula kuku, nakumbuka siku ya kwanza nimekuja na kuku mzima nikamwambia atengeneze kwa ajili ya kula yeye mchana na usiku, hee! Nakuja usiku anasema alikula asubuhi na mchana kaacha mchuzi tu, nikasema sio inshu, nikamuelekeza huwa tunafanya budget.
Nikaletewa keki na jamaa yangu baada ya birthday yake kusupriziwa na manzi yake na keki ndio ugonjwa wangu jana hio, nikasema siigusi hii nije kujinafasi na icing sugars zangu usiku baada ya mihangaiko nakuja nakula kalamba hadi icing sugars nauliza anasema anapenda keki alijua ndio nimembakizia yeye.
Leo asubuhi nimemwachia hela ya nyama kilo na ndizi nakuja nakuta imebakizwa nusu sahani, sasa najiuliza wanawake ndio wanakula kiasi hiki anakomoa au ni vipi, kumtunza mtu kama huyu ni vigumu sana.
Alafu swali kwa wanaume wenzangu, hivi mnajizuiaje kumuacha msichana wa kazi bila kutembea nae maana kadri siku zinavyozidi kwenda naona anazidi kuwa mzuri tu. (For just having a laugh)