sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Anasema kwenye Mwanamke Initiative Foundation anasema afadhali binti aliyeshindwa shule asubili kuolewa kama hao waowaji wapo,,, je mmemwelewa?
Kipindi hiki wanaume tusijihusishe na Uovu wowote acheni wizi mnamsononesha Mama, msiuane, mama alipata uchungu kutuzaa, mwanaume uwe na huruma kwa watu na viumbe, dunia ina inaribika na wanaume tupo , mama alituzaa wa nini sasa, tufanye mabadiliko chanya tumfurahishe mama Dunia na mama Hangaya..
Kipindi hiki wanaume tusijihusishe na Uovu wowote acheni wizi mnamsononesha Mama, msiuane, mama alipata uchungu kutuzaa, mwanaume uwe na huruma kwa watu na viumbe, dunia ina inaribika na wanaume tupo , mama alituzaa wa nini sasa, tufanye mabadiliko chanya tumfurahishe mama Dunia na mama Hangaya..