Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,344
- 6,403
Yaani mtu halali yako, lakini unapewa kwa mgawo, kama wanavyopewa mgawo wa maji watu wa Dar!
HawapoUpo sawa, kwani wanaume wangapi husubiri 40+ za mke baada ya kujifungua bila kuchepuka?
Baadhi ya wanaume mkoani Shinyanga wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo kupigwa na kupigwa na wake zao.
Hayo wameyasema Jumanne Desemba 7, 2021 wakati wakipewa elimu ya ukatili wa kijinsia na dawati la jinsia la polisi katika stendi ya mabasi wilayani Shinyanga.
Mbona sura zao wote hapo zinaonyesha wanapata unyumba mbadalaBaadhi ya wanaume mkoani Shinyanga wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo kupigwa na kupigwa na wake zao.
Hayo wameyasema Jumanne Desemba 7, 2021 wakati wakipewa elimu ya ukatili wa kijinsia na dawati la jinsia la polisi katika stendi ya mabasi wi
Yaani mtu halali yako, lakini unapewa kwa mgawo, kama wanavyopewa mgawo wa maji watu wa Dar!
Wana harakati andaeni jando kwa ndugu zenu.
Ukiachana na idadi unayosema hiyo idadi wanazaliwa Sasa watoto wakike Kama njugu 10 mmoja wakiume Sasa sijui tutaelekea wapi Kama idadi ya wanaume inapungu kwenye wanaume
Daresalama walishamalizana mkuu...familia zimerelax mama anaaga Kaka kamwita au shangazi wameshazoeaKama mikoani hali iko ivyo, kwa dar watawezana kweli!!!
jamani ka hutumizi majukumu mkeo anatafta Hadi hela ana choka na mikazi hyo hamu itoke wapi aiseeYaan nimecheka jamani
cariha miss pablo reymage Extrovert kolola Saint Anne
Hao wanawake nahisi ni sisi kabisa
😂😂😂Yaani mtu halali yako, lakini unapewa kwa mgawo, kama wanavyopewa mgawo wa maji watu wa Dar!
Wanawake wa shinyangaNani hao?
Ndiwoo nimeona safi sanaWanawake wa shinyanga