Wanaume mkiingia kwenye mahusiano na mabinti ambao hawajakomaa kiakili wanawatangaza utupu wenu

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Jul 14, 2021
3,979
5,293
Wazima wa afya? Natumai ni wazima, wakubwa zangu shikamoni, najua kuna wazee wa heshima humu.

Katika kutoka kimapenzi na wasichana, na siku hizi vibinti vinakuwa vinahamasisha kuliko hata watu wazima, tafadhali naomba muwe makini... Kumbukeni hawa mabinti 17-21 hawana siri na hawajakomaa kiakili na kifikra.

Haipendezi mzee na heshima zako unatangaziwa na binti mambo ya aibu, ni fedheha. Kifupi mbali na kuwa na mvuto kuliko watu wazima/wake zetu ambao wamekomaa kiakili, mabinti hawa wengi wao hawana akili bado, ni viropo ropo mno, angalau kuanzia 25+ ndio huwa wamekuwa kiakili na wamekomaa kifikra, hapo ni burudani, ila chini ya hapo mnajivua nguo madingi.!

Nawasilisha, ninayosikia yananisononesha sana, hawa mabinti si wazuri kabisa.!
Mambo ya aibu kabisa, yaani mmelala uchi mwenzio anaamka usiku anaangalia makalio anacheka, tena kwa sauti... Mara mkiwa mnaandaana akiona korodani anacheka, hapo bado kukutangaza.

Jamani mnavuliwa nguo huku madingi, kuna mabinti wengi nimewahi kuongea nao wanawavua nguo mno nyie madingi, sasa shida yote ya nini? Kwa nini usigegede watu wazima? Au hata kama ni binti basi walau 25+, chini ya hapo mnavuliwa nguo.!
 
Kiukweli ni aibu, hata mimi tu kama mwanaume, enzi za ujinga wangu nilikuwa nashangaa sana maumbile ya wamama watu wazima wakinivulia nguo, vile wanaoonekana ngozi imechoka ila eneo, kalio limesinyaa utafikiri limemwagiwa maji ya moto, wengine hazi mvi zimeanza kuota kwenye vvuzi, ni maajabu kwa kweli. kujiheshimu ni kitu cha msingi, ajabu ni kwamba sisi watu wazima huwa hatujui kama tunajiaibisha sana kwa watoto tunaolala nao ambao wengine ni wajukuu zetu au mabinti zetu kabisa. ndio huyo unampa uhuru wote wa mwili wako. all in all, uzinzi ni dhambi na ni aibu.
 
Wanakuja wenye jinsia Yao!!
Jinsi wanavyokuja sasa😆

giphy.gif
 
Anitangaze asinitangaze atajua yeye na huwa sishindwi na vibinti vidogo nakipelekea moto mpaka kinazirai kikija kuzinduka kinakuta ngona iko online inaomba puchi tena.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom